Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead


Hakumuliza nani kamchora izo tatoo anahangaika kuliza anaongea na nani kwenye simu. Mithali 5:3-5. Maana midomo ya malaya hudondoza asali,na kinywa chake ni laini kuliko mafuta,lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga,ni mkali kama upanga wa makali kuwili. Miguu yake inateremkia mauti,hatua zake zinashikamana na kuzimu.
Lulu undefined.
 
Binafsi sikuwa na habari ya mtafaruku huo, isipokuwa siungi mkono kitendo cha kumsimanga mzazi wako kwa kosa lililotendeka ukiwa mdogo. Kumbuka hadithi utakayokuwa umeipata itakuwa ya upande mmoja (mama), huwezi kujua ni tatizo gani lilisababisha asamehe mama na mtoto. Narudia tena si busara vijana kuwahukumu wazazi wenu na ni salama zaidi kumwachia Mungu.
 
Reactions: Nzi
Nadhan inatosha kwa eatv,
kwan zote za meng,
ila tambua kuwa eatv na clouds t.v ni kwa ajil ya entertainment esp to YOUTHS,so wakionesha ni sawa,i.t.v watakumbukwa kwa kumpa promo kanumba
 
Sheria iko ivi ukifa kwa jeraha lililosababishwa na mtu yeyote ndani ya siku 30,mtu huyo atakuwa ndiye aliye sababisha kifo chako au muuaji,sasa kanumba hajachukua hata siku moja nani muuaji? obvious ni Lulu go straight.
 
Unataka kutuambia Kifo chake kimesababishwa na mzazi wake. Lulu naye alipenda kifo kitokee? Kuwa makini na post yako mku, hujafa hujaumbika.Dunia ni pana kuliko unavyochukulia

Umeongea ukweli mtupu. Kesho si yetu hata kidogo. Na hakuna ajuaye atakufaje. Si Lulu, mama yake wala Kanumba walijua haya yangetokea kabla, lakini yametokea. Mungu ndie mtoa hukumu.
 
Unataka kutuambia Kifo chake kimesababishwa na mzazi wake. Lulu naye alipenda kifo kitokee? Kuwa makini na post yako mku, hujafa hujaumbika.Dunia ni pana kuliko unavyochukulia

nenda taratibu...Hujamuelewa. Anamaanisha lulu alishakanywa na mama yake pamoja na wampendao kuwa aepuke mapenzi kwa umri wake mdogo, hakusikia. Sasa ndio dunia inampa somo. Ukweli lulu hakupenda yatokee lkn angeishi ushauri wa mzazi pengine yasingemkuta haya!
 
Big daddy,moses,a point of no return,magic house,the devil kingdom na nyinginezo nying we zitafute then ucheki.
 
Mungu alitoa na mungu ametwaa jina lake lihimidiwe AMINA.
Watanzania wote poleni kwa kuondokewa na kipenzi cha wengi Steven Kanumba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema amina
 
back door huyu jamaa yuko freemason na alitakiwa kutoa sadaka since then na walimtaka mama yake akajifanya mjanja tokea june last year sasa wameamua kumchukua so is like that
 
Pole Elizabeth Michael <LULU>. Unahisi dunia yote inakuangalia wewe KWA JICHO KALI kama mkosaji. Lakini amini kosa lako ni la kibinadamu na hakuna mwenye hakika kwamba angeweza kuliepuka...
NI MAJONZI,
NI MAJUTO,
NI MTIHANI MGUMU...
LAKINI YOTE NI MAPITO.
JIPE MOYO,
JIPE UJASIRI.
Naamini ilikuwa lazima Kanumba afe,na ilikuwa lazima kifo chake Kipitie KWAKO !
Kwa imani hii MOYO WANGU HAUNA SABABU YA KUKULAUMU,JAPO TULIMPENDA SANA KANUMBA NA TULIMHITAJI SANA KANUMBA.
... Na sasa Mungu amemtwaa !
Jina la BWANA na lisifiwe ...AMINA !
 
Reactions: 3D.
mi hadi mida hii bado siamini.nashindwa kuamini.
 
Mahojiano na mama mzazi wa Kanumba

 
Last edited by a moderator:
Reactions: 3D.
Kuna ile inaitwa she is my sister....aliiogiza na wale wadada wa kinaigeria nigeria, aise pale nilimuona mshikaji ipo siku atakuja ku act nakina brat pit au kina eva longorio wa hollywood...rest in peace kaka
 
Pole Mama Kanumba, Mungu akutie nguvu upate uvumilivu na kuwa na subira wakati wa kipindi hiki kigumu.
 

wewe unasema hivyo naamini kabisa sio muhanga wa kulelewa na mzazi mmoja,ukaona shida na mikasa yake,tena afadhali ujue mzaz wako alifariki,lakini yupo hai na hakujali inauma kupita unavyoweza kufikiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…