Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahindi wa k.koo waiz sana
tena imeandikwa. Aziniye na mwanamke, hana akili kabisa!uzinzi siyo kitu kizuri
uvivu wa kufikiriKama ni kweli basi R.i.p kipenzi cha wengi.
Ray kapata pa kutokea sasa
Mahojiano na mama mzazi wa Kanumba
Naye afanyakitu kitachoangamiza nafsi yake.tena imeandikwa. Aziniye na mwanamke, hana akili kabisa!
Kanumba akiwa ameshafariki anaekea mochwari soo sad R.I.P Brother.
...Na sharia je, inasemaje?sheria inaruhusu kuoa 15+ ingawa kuna sheria inataka under 18 wawe shuleni.
Du! Sasa mshikaji alikuwa hajawa na familia ya damu yake sasa katutoka hii balaaaaa kwa sisi vijana tusiyo na familia, ila hamna noma mungu amependa zaidi.
Marehemu ana dhambi,kwanini alikuwa na mtoto ambaye sio mke wake, alikuwa anasubiri nini kuoa?