Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uchungu mbaya kama wa mzazi kuona mwanae amefariki.r.i.p steven kanumba.
back door huyu jamaa yuko freemason na alitakiwa kutoa sadaka since then na walimtaka mama yake akajifanya mjanja tokea june last year sasa wameamua kumchukua so is like that
We are masters of our own fates...by the choices we make!
Mbona huo mlexus ni wazamani wanausifia hivyo
Halafu kifo chenyewe kama hiki, si ajabu jana tu kapiga naye story, halafu baadaye anaambiwa amekufa. Bora uuguze aisee. Maana kwenye kuuguza huwa inafika wakati unamwomba Mungu ampumzishe lakini hii ya ghafla, sijui kama machozi yake huwa yanaisha.Hakuna uchungu mbaya kama wa mzazi kuona mwanae amefariki.r.i.p steven kanumba.
Kulikua na kaschana by the name Jenifa, halaf the late SK alitumia hilo jina la anko jj, samahan jina la movie limentoka
Este es el idioma Español,Sina uhakika na hayo usemayo Mphamvu ila naomba unifahamishe. Hiyo title ya thread yako ni kispaniola au kifaransa?
jana ilikuwa siku ya sadaka ya damu yeye,Mutharika na wengine walitolewa...hautakaa uelewe.mhhh??ushahidi?
Mama huyu anatia huruma! Poleni sana wafiwa na wote mlioguswa na msiba huu kwa namna moja ama nyingine.Mahojiano na mama mzazi wa Kanumba