mashimbamang'oma
Member
- Feb 21, 2012
- 53
- 23
At anytime Mungu ni mkubwa. Hajakosea. But sio malumbano. Inaillahi wainailla rajiunhatusem Allah akbar,
mtu akifa sema.INALILAH WAINAILLAH RAJIUUN
Source: clouds FM ndugu mm ckuwepoToa maelezo ya kutosha plz. Kasukumwa vipi? R.I.P KANUMBA
Hii inawezekana ni bahati mbaya lakini huyu mtoto ana mambo.Hakuna jambo zuri kutoka kwake!!Clouds fm live dakika zilizopita mtu aliepo nyumbani kwa marehemu, watu wanazidi kufika ndugu zake bado hawajafika.
Kanumba alikuwa anaoga wanavyodai majirani saa sita usiku alitoka bafuni kuingia chumbani eti akamkuta Lulu anaongea simu ya mapenzi na mwanaume mwingine, wakagombana na akasukumwa na kuangukia kujigonga kichwa na ndio kilichosababisha kifo chake. sasa msemaji amesema kuwa hii ndivyo inavyoelezwa pale na wanasubiri wataalamu watoe taarifa yao, inaelekea ugomvi ulikuwa mkubwa kati yao hadi majirani walisikia.
Kwa hiyo kwa sasa ni kauawa na Mpenzie
RIP
hii nikweli kipenzi chetu kanumba kimitutoka leo,changamoto kwetu vijana ambao hatujaoa
OMG, Kanumba kafariki Duniakama lisaa limoja lililopita…
ni kifo cha Ghafla tu, alikuwa nyumbani kwake na LULU wakati kifo kinamkuta....
Pigo kubwa sana kwa Bongo movies….
IM STILL IN SHOCK…
KUNA NEWS HUWA NAFURAHIGI KUWA WA KWANZA KUREPORT BUT HII YALEO I STILL WISH NINGEKUWA SIJAAMBIWA kama naota vile...
Rest in peace Kanumba…GONETOO SOON…....
Toa maelezo ya kutosha plz. Kasukumwa vipi? R.I.P KANUMBA
Acha utani ina maana maisha yako Kanumba haumfahamu? Inaonekana hata Rais haumjui!
mapenzi jamani!.. acha nifanye nioe mapema ... nitulie...! ... R.I.P ... Gone toooo soon!!! bado ni kijana mdogoClouds fm live dakika zilizopita mtu aliepo nyumbani kwa marehemu, watu wanazidi kufika ndugu zake bado hawajafika. Kanumba alikuwa anaoga wanavyodai majirani saa sita usiku alitoka bafuni kuingia chumbani eti akamkuta Lulu anaongea simu ya mapenzi na mwanaume mwingine, wakagombana na akasukumwa na kuangukia kujigonga kichwa na ndio kilichosababisha kifo chake. sasa msemaji amesema kuwa hii ndivyo inavyoelezwa pale na wanasubiri wataalamu watoe taarifa yao, inaelekea ugomvi ulikuwa mkubwa kati yao hadi majirani walisikia. Kwa hiyo kwa sasa ni kauawa na Mpenzie RIP
Hapana, si murder...Ni Manslaughter!Duh asante kwa taarifa. Sasa kama ndio hivyo si Lulu anatakuwa kuarestiwa? Maana ni murder case!
Kitakachofuatia utasikia Lulu kaokokaKama chanzo ni LULU...wasimpe gape huyo mtoto...kata jiua sasa hivi.