mashimbamang'oma
Member
- Feb 21, 2012
- 53
- 23
Kifo chake inasemekana alikuwa bafuni anaoga kujiandaa kutoka out na mpenz wake.. Aliporudi chumban akakuta mpenz wake anaongea na simu na mwanaume mwingine.. Hapo ndio ukatokea ugomvi ulimsababisha kusukumwa na kuangukia kisogo na hapo ndipo akapoteza uhai wake... Inasikitisha sana... Mapenz noma.....