Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

inatia huzuni sana, lakini tunapaswa kuwa waangalifu sana katika mambo ya mapenzi. God lead us into ua kingdom. Forgive us our tresspasses
 
kwenu umejenga?

Una uhakika na utajiri wa kanumba? Umeona bank statement yake?
 
...mhh non sense. Rip kanumba ingawa umekufa kwa uzembe na ujinga wako, unaelimisha jamii halafu bado ulikuwa unapiga wanawake?
 
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa Kanumba alikuwa amekunywa Whisky (pombe kali) aina ya Jacky Daniel, hata hivyo, bado wanachunguza zaidi kujua kama kweli Kanumba alilegea tu na kuanguka, ama alipigwa na kitu kizito kichwani au alisukumwa kwa nguvu na kumfanya aangukie kisogo.

"Uchunguzi ukikamilika tutampeleka mahakamani kwa tuhuma za mauaji," aliongeza Kamanda Kenyela.

MAELEZO ZAIDI SOMA GAZETI LA MWANANCHI

http://www.mwananchi.co.tz/componen...nia-top-news-story/21838-kanumba-afariki.html
 
Kila mtu akileta ndoto hapa itakuwa machafuko.
 
Kifo cha Kanumba kimenishtua sana, ilifikia mahali nakashindwa kunywa chai asubuhi. Hata sasa siamini kama kweli huyu gwiji wa sanaa ya filamu ametutoka.
Siyo kwamba ninamfahamu sana Kanumba, personally sijawahi kukutana naye uso kwa uso.
Nimemjua Kanumba kupitia kwenye filamu alizowahi kuigiza.
In general kama jamii ya kiafrica nimejifunza mambo mengi kuhusu maisha na kimaadili kupitia filamu zake. Yapo mengi ya kuigwa kutoka kwenye filamu zake.
Sipendi kuzungumzia maisha yake nje ya filamu kwakuwa sijui, na hata kama ningejua ningefananisha kama maisha ya watumishi wa mungu, ambao siku zote wanafundisha habari za wokovu kupitia maandiko ya biblia, lakini maisha yao nje ya kanisa hayaendani na jinsi wanavyofundisha.
Kanumba amesaidia sana kuibua changamoto nyingi za maisha ya kitanzania kupitia filamu, kwa mfano nakumbuka fulamu moja aliyowahi kuigiza iliyokuwa inazungumzia mfumo dume ambayo aliigiza na akina wema sepetu, ilisaidia jamii kujua kuwa mtoto hupatikana kwa mapenzi ya mungu na si vinginevyo.
Pia kuna filamu aliigiza yeye na familia yake kuwa wachawi na wanaishi kwa kunywa damu za watu, lakini baadaye kupitia hiyo filamu ikaonekana kuwa Mungu ni Mkuu, hakuna aliyejuu yake.

Hivyo nadhiriki kusema kwa jinsi nilivyoshtuka, nisingeshtuka ningesikia kuwa Muikulu ndiyo katutoka.

Samahani kama nimewaudhi, ni mtazamo zamo mc usivunje majungu!
 
Hahahaaa, ati tunazaa ili watoto waje kutupa maisha bora.
 
R.I.P. Steve, pengo uliloliacha kwenye fani ya sanaa halitazibika kamwe, lakini nafasi inaweza kuzibika.
You'll alwayz remain Kanumba The Great.
R.I.P. Again the Comrade
 
hakika wewe wasema lillilo kweli hakuna tofauti kama watu wenyewe ndiyo hawa? huyu ni changu au msani?i hakika wasanii wanatumia mgongo wa usanii kufanyia ukahaba? hakuna makahaba wakubwa TZ kama hawa wasanii?i na ushahidi huo hapo asante sana
 

Angalia hizo movie kwanza, kuna script writer , kuna watu wa taa, kamera,sound, kuna distributors, actors, na wengineo nini zaidi unataka?
 
Pole mama, Mungu akutie nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu.
 
Profesa Mutakywa alikuwa jirani yangu zamani sana wakani ningali naishi Mlimani campus. Sikujua kuwa kafariki; alikuwa mtu mzuri sana (at least kwangu) na alikuwa mtaalamu sana wa fani yake. Mwenyezi Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…