Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Aliyeshangilia ni yeye na sio jamii yake!! Toka kwenye jamii iliyomzunguka yeye, wapo waliohuzunishwa na hicho kifo pengine kuliko wewe...sasa inakuwaje unaanza kuwadhalilisha?! Next time, watch ur fingers movement, usijifanye unajua sana matusi; mie sioni taabu kupigwa ban ninapokutana na watu kama wewe!
Ni kweli huoni taabu kupigwa ban, lakini nafikiri ulitaka kuandika kuwa huoni taabu kujilipua kwa bomu ukikutana na watu kama sisi! Imekuuma eeh?
 
Kanumba siyo binadamu wa kawaida Kama wewe mkuu, kanumba alikuwa anaishi maisha mbele ya umri wake. Yesu Kristo aliishi miaka 33 tu. sitaki kuwalinganisha lkn kuna fundisho Fulani. Amina chifupa, Mtoto wa dandu, bruce Lee, wataje wengine waliofanya mengi mbele ya umri wao. Mambo mengine, tuyapime kwa jicho na akili ya kiimani zaidi.
 
what a loss!!
hapa ndo utaona maana ya wimbo "usije mjini"jamaa ujanja wooote na kutengeneza pesa kwa sana ujanani anaenda kupoteza maisha kibwege hivi??
kweli kifo hakina formula,
kamfundisha huyo mtoto usanii na mapenzi na lulu kamzawadia kifo:heh:
 
Naomba tukatendee haki haka katoto!. Mwenye mamlaka ya kutaja chanzo cha kifo ni daktari, na mwenye mamlaka ya kumtaja mhusika ni jeshi la polisi!.

Nashauri subirini taarifa ya dakitari kuhusu chanzo cha kifo. Mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Lulu alimsukuma, inawezekana kwenye purukushani hiyo, ni Kanumba mwenyewe ali bugi step akateleza na kuanguka bila kusukumwa na yoyote!.

Hata kama ni kweli Lulu alimsukuma, chanzo cha kifo sio lazima kiwe kimetokana na kusukumwa!. Inawezekana Kanumba alikuwa na heart problem, pressure etc, hivyo alipokasirika pressure zikapanda, au akapata heart failure ndipo akaanguka!.

Hata kama ni kweli alijigonga, subirini madaktari wathibitishe chanzo cha kifo ndipo tuendelee kujadili!.

Najua msiba huu ni huzuni kubwa, lakini nawaombeni sana, lets not be judgemental kwa Lulu!.

Mimi ni miongoni mwa waumini wakubwa wa the doctrine of "karma", kuwa there is nothing new under the sun, hakuna coincidence wala bahati mbaya, lolote ambalo limetokea, lilikuwa litokee tuu, yaani siku ya mpendwa wetu Kanumba ndio ilikuwa imefika, saa ilipotimia Mungu akamuita, hata asingesukumwa, angefia usingizini!.

After all, there is life after life and life before life!, death ni change tuu ya life form from physical body to spiritual body!.

Rip Kanumba.

Pasco

wel said,binafsi sizan kama Lulu ana miguvu ya kumpush stiv! Kama cku imefika hata ukipigwa na popcorn utakufa tuu! Ukwel utajulikana tu,tusikimbilie kujaj,no1 is perfect!
 
Usihukumu, kwani utahukumiwa.

Toa kwanza Boriti katika jicho lako kabla hujaona kibanzi katika jicho la mwenzako.u

I hope hauna dhambi na kwamba hutakufa na maana anyekufa kapotoa wengi.

And I hope hukifa hutakiona hutakiona ulichochuma kwa Allah!

Vitu vingine mnaandika kama si Wanadamu au kama hamuwezi kufa!





Kama hana roho..
 
Kametulia ka lulu chetu. Sasa kinaenda kuwa chakula ya akina babu Theya Segerea. Watakakamua
 
Hata kama mi ni mgeni lakini naona kama maada hii huku si mahala pake hivi, labda ingekuwa kwenye sport and entertainment!!
 
Kanumba ni msanii mkubwa hivyo lazima taifa lifike wakati kuenzi mazishi ya watu mbalimbali wenye vipaji ata ukiwa mchekeshaji nawe pia ni sehemu ya ukuaji wa taifa letu.....RIP kanumba
 
lulu_2.jpg


huyo hapo lulu,ajali kazini hiyo duh
 
Lulu is a disgrace!! She need to stay behind bars till the end of this world..mtoto mdogo umalaya utadhani nini!!
 
Msanii Kanumba hastahili state funeral, please!!! Kumbuka tulishawazika wacheza mpira Sembuli, Zimbwe etc na wasanii Mwinamila, Makongoro, Moses Nyunyusa etc hatujawahi kufanya state funeral. Any way, anything can happen.
 
Ni moja Kati ya Vijana wachache wa Kitanzania -- aliyethubutu kuwa na nidhamu katika kujifunza kutoka kwa watu mbali mbali na ubinifu ambao ulileta matunda kwake mwenyewe na kuiinua jamii iliyomzumguka.

Amethubutu kuonyesha inawezekana pata kipato bila UFISADI au uchakachuaji wa VIWANGO vya bidhaa mbalimbali.

Yale ya udhaifu wake Kama mwanadamu kwa sass ni mbele ya haki ..... Kutoa hesabu ya Matendo yake.
 
Wandugu, watu kama akina Kanumba nchi nyingine huwapa VIP passport na huwa wanapewa mazishi ya Kitaifa, nchi zinazotambua mchango wa wasanii hawa katika kukuza jina la taifa husika katika nchi mbalimbali duniani na hata katika maendeleo ya nchi hasa katika kuelimisha nk

J e kanumba anastahili mazishi ya kitaifa?

prof...seriously you dont mean it, do you?
 
Back
Top Bottom