Tanzanian doctors sound alarm over hidden coronavirus cases...‘Corona is considered a security issue, not a public health issue’

Tanzanian doctors sound alarm over hidden coronavirus cases...‘Corona is considered a security issue, not a public health issue’

Ugonjwa ni siri ya mtu na daktari na sababu ya kifo ni siri ya MTU na daktari na ndugu zake

Mtu kafa kwa kuharisha au corona sio tangazo la biashara .Wizara ya afya iache kutoa taarifa hizo

Tanzania watu wanakufa kila siku kwa kwa magonjwa yaambukizayo kama kifua kikuu,malaria,ukimwi nk na ,wengine wanakufa kwa kupigwa marungu kwa kufumaniwa nk mbona hawaombi takwimu za kila Siku? Tufike mahali tuseme no to hell with you

Medical ethnics zizingatiwe sababu ya kifo ibakie siri ya mgonjwa,daktari na ndugu zake full stop

Serikali acheni kutoa takwimu za Vigo vya corona kila MTU ambbane na hali yake nchini kwake
Akili za ccm zinafanana from bottom to the top and vice versa.
 
Kama hvyo kwel vp yule anaewataka wabunge na uthibitisho kuwa wamepimwa korona?Achen kuwa mazumbukuku
Ugonjwa ni siri ya mtu na daktari na sababu ya kifo ni siri ya MTU na daktari na ndugu zake

Mtu kafa kwa kuharisha au corona sio tangazo la biashara .Wizara ya afya iache kutoa taarifa hizo

Tanzania watu wanakufa kila siku kwa kwa magonjwa yaambukizayo kama kifua kikuu,malaria,ukimwi nk na ,wengine wanakufa kwa kupigwa marungu kwa kufumaniwa nk mbona hawaombi takwimu za kila Siku? Tufike mahali tuseme no to hell with you

Medical ethnics zizingatiwe sababu ya kifo ibakie siri ya mgonjwa,daktari na ndugu zake full stop

Serikali acheni kutoa takwimu za Vigo vya corona kila MTU ambbane na hali yake nchini kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Where I'm at, there's a place the government has put up for auction, every week, there's a meeting of people from different places,

Merchants and various people gather, ironically, none of them are lost in Corona,

we know CVD-19 exists but not to the extent they say.

The prayers of the Saints, God has heard, God has allowed people to suffer, but Corona does not make Tanzanians weak and very sick.

God bless Tanzania

Asubuhi I karibu Sana, Mungu hawezi kunyamazia machozi ya Watanzania wakimlilia ili kuliponya Taifa na Dunia!

Tusimame tu Kwa udhabiti, Tunakwenda kuuona utukufu wa Mungu
 
Ugonjwa ni siri ya mtu na daktari na sababu ya kifo ni siri ya MTU na daktari na ndugu zake

Mtu kafa kwa kuharisha au corona sio tangazo la biashara .Wizara ya afya iache kutoa taarifa hizo

Tanzania watu wanakufa kila siku kwa kwa magonjwa yaambukizayo kama kifua kikuu,malaria,ukimwi nk na ,wengine wanakufa kwa kupigwa marungu kwa kufumaniwa nk mbona hawaombi takwimu za kila Siku? Tufike mahali tuseme no to hell with you

Medical ethnics zizingatiwe sababu ya kifo ibakie siri ya mgonjwa,daktari na ndugu zake full stop

Serikali acheni kutoa takwimu za Vifo vya corona kila MTU apambane na hali yake nchini kwake
Sasa majibu mbona wanatoa kwa ndugu? Lakini kwenye chain ya upimaji wa corona wewe unawaona watu wangapi hapo? Je hiyo kitu ugongwa ni Siri ya mgongwa na daktari wake unaona inaapply kwenye hiyo chain?
 
The New Humanitarian
...
Amsterdam


The New Humanitarian spoke to five Tanzania-based doctors and medical specialists about the response, either by telephone or email. All only agreed to speak on condition of anonymity, such was their fear of reprisals from a government whose human rights record has worsened in recent years.

“There is no information,” said one specialist, a health adviser to the government in the commercial capital, Dar es Salaam. “This leads to a tremendous amount of rumours and fears among the population – it’s disastrous for this epidemic.”

The adviser, a consultant who is on several working groups in the Ministry of Health, said the outbreak was being treated as “a security issue, not a public health issue”, meaning the health minister did not have the final say.

“Everything that is related to corona is now in the [central] government’s hands,” another health consultant agreed. “There’s tremendous political pressure coming from the president’s office to control all of this.”

Since Tanzania’s first known case of COVID-19 was detected in the northern city of Arusha in March, the government has officially registered 509 positive cases and 21 deaths. But the last update was more than two weeks ago – on 29 April – a point highlighted by the US embassy when it issued a warning to its citizens on Wednesday.

“The risk of contracting COVID-19 in Dar es Salaam is extremely high,” the US embassy statement said. “Despite limited official reports, all evidence points to exponential growth of the epidemic in Dar and other locations in Tanzania.”

A doctor working in a leading private hospital in Dar es Salaam said more than 60 COVID-19 cases had been admitted to his facility by 6 May, a scale that was already straining its services, with staff from all departments being called on to help. “The number of infected people is likely to be multiple times higher than official figures,” the doctor told TNH.

“Despite limited official reports, all evidence points to exponential growth of the epidemic in Dar and other locations in Tanzania.”

Source... Tanzanian doctors sound alarm over hidden coronavirus cases

Mfichaficha maradhi, kilio humuumbua!

President Magufuli has an obligation to lead Tanzania in the fight against COVID-19. He should leave religion to the priests and prioritise saving lives. Anything else would be inhuman. There will be economic repercussions, but as Ghana’s president noted, economies can be resurrected, but dead people cannot.
Huyu ni wa kupiga chini tu, kwa kila njia
 
Kenya Government reports that a new area of focus in the fight against the virus are the frontiers. “Our borders are now the key areas of focus particularly Namanga,” CAS Dr. Mercy Mwangangi told reporters during today’s briefing.

Kenya has on Wednesday declared the border town with Tanzania as a high-risk area. Namanga is a town divided by the Tanzania-Kenya border. It is in Longido District, Tanzania and Kajiado County, Kenya. It is around 110 kilometers from Arusha, Tanzania.

Zambia has also recently shut its common trade border with Tanzania after the town of Nakonde recorded a spike in cases. It is currently having more cases than the capital Lusaka.
Let them close the boarder! We don't case as long as their citizens are the ones who gona suffer!
 
“The news media are silent,” the doctor and health ministry adviser who had taken temporary leave said. “They don’t want to fight the government.”

As a result of the apparent secrecy, concern is mounting among Tanzania’s neighbours over the potential unchecked spread of COVID-19.

Zambia closed its border with Tanzania on Sunday, and Kenya is considering following suit after truck drivers coming from Tanzania tested positive for the virus.

Hata majirani washtuka...
Naona unahangaika sana. Let me tell you!! President Magufuli is far ahead than you idiot!!
 
Ugonjwa ni siri ya mtu na daktari na sababu ya kifo ni siri ya MTU na daktari na ndugu zake

Mtu kafa kwa kuharisha au corona sio tangazo la biashara .Wizara ya afya iache kutoa taarifa hizo

Tanzania watu wanakufa kila siku kwa kwa magonjwa yaambukizayo kama kifua kikuu,malaria,ukimwi nk na ,wengine wanakufa kwa kupigwa marungu kwa kufumaniwa nk mbona hawaombi takwimu za kila Siku? Tufike mahali tuseme no to hell with you

Medical ethnics zizingatiwe sababu ya kifo ibakie siri ya mgonjwa,daktari na ndugu zake full stop

Serikali acheni kutoa takwimu za Vifo vya corona kila MTU apambane na hali yake nchini kwake
Wasomi wa CCM hawa
 
Back
Top Bottom