Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Weee mbwa usinizoeee kabisa. PumbavuIdiot wa saccos ya CDM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee mbwa usinizoeee kabisa. PumbavuIdiot wa saccos ya CDM
“Anonymity “ maana yake, hawakutaka kutajwa majina yao!Hao madokta hawana majina?
Sioni haja kutangaza vifo vya korona.
Mbna Ukimwihawatangazi.
siasa za kijingajinga tuachane nazo.
Nimerudia kusoma mara4 lakini sijakuelewa kabisa......kuchukua tahadhari ni muhimu sanaSawa Kemikal Ali Kabudi, na Mungu akusikie kilio chako
Hali zetu za kiuchumi zimetufanya tujipe upofu dhidi ya Corona......yana masokoni kupo congested alafu hakuna hata raia mwenye time na mask au kunawa mikonoHawashuhudii maiti zikizagaa mitaani na barabarani?
Maana inasemekana watu wanaugua na kufa sanaaa halafu serikali inaficha, hao watu hawajioni wakiwa katika hiyo hali mpaka watetezi wa uhai wetu ambao kwao vifo vinavyotangazwa ni mob wameamua kutuhurumia na kutusemea..
Thanks for sharing Mkuu 🙏🏽
Uzushi mtupu.“Anonymity “ maana yake, hawakutaka kutajwa majina yao!
Labda ni kweli ni uzushi mtupu, mimi hata sihusiki, nimesaidia hiyo tafsiri kidogo tu, “anonymity”! Ukipenda nipe ‘like’ maisha yaendelee!Uzushi mtupu.
Ugonjwa ni siri ya mtu na daktari na sababu ya kifo ni siri ya MTU na daktari na ndugu zake
Mtu kafa kwa kuharisha au corona sio tangazo la biashara .Wizara ya afya iache kutoa taarifa hizo
Tanzania watu wanakufa kila siku kwa kwa magonjwa yaambukizayo kama kifua kikuu,malaria,ukimwi nk na ,wengine wanakufa kwa kupigwa marungu kwa kufumaniwa nk mbona hawaombi takwimu za kila Siku? Tufike mahali tuseme no to hell with you
Medical ethnics zizingatiwe sababu ya kifo ibakie siri ya mgonjwa,daktari na ndugu zake full stop
Serikali acheni kutoa takwimu za Vifo vya corona kila MTU apambane na hali yake nchini kwake
Ni aibu kubwa sana sana kuwa na raia wa namna hii.Wasomi wa CCM hawa
kwani umesikia wangapi wamekufa huko masokoni kwa corona? kama una woga wa corona ji lock down kibinafsi usiende sokoni pisha wasioogopaHali zetu za kiuchumi zimetufanya tujipe upofu dhidi ya Corona......yana masokoni kupo congested alafu hakuna hata raia mwenye time na mask au kunawa mikono
Footage of secret burials of people who allegedly died of COVID-19 are doing the rounds on social media, while parliament has been suspended following the death of three legislators in quick succession from unknown causes – fuelling speculation over the extent of the outbreak.
The government has adopted a politics of silence. President John Magufuli is chairman of the regional Southern African Development Community bloc, yet it was South Africa that called a SADC meeting this month to discuss COVID-19, and Tanzania did not participate.
The country was also absent on Wednesday from a virtual East African Community meeting on the regional response to coronavirus.
The alleged politicisation of the response is reminiscent of the government’s approach to Ebola last year, when it withheld information from the World Health Organisation over potential cases in the country.
Twafaaa...
Politicizing a pandemic is detrimental and risky to the public. Is it a tactic to out smart CHADEMA politically?President Magufuli has an obligation to lead Tanzania in the fight against COVID-19. He should leave religion to the priests and prioritise saving lives. Anything else would be inhuman. There will be economic repercussions, but as Ghana’s president noted, economies can be resurrected, but dead people cannot.
watu hatuogopi corona nenda popote umati kibao misokoni kibao lakini uliza hata mfanyabiashara yeyote nani kafa kwa korona sokoni atakwambia hakunaNi aibu kubwa sana sana kuwa na raia wa namna hii.
Hawahoji,wao ni kupiga filimbi ya wimbo aliochagua mlipaji tuu. Hii laana sijui imewakutaje hawa binadamu.
Duh! Very educative.
Haya yote yanatokana na usiri wa serikali kutotoa taarifa kuhusu janga hili. Kila mmoja atasema lake!Mambo mengine jamani msiwe mnatetea tu kwasababu zenu za kisiasa. Matetezi hata yasiyo ya msingi ndiyo huzaa chuki. Labda siku yakuwakuta ndiyo akili zitawakaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ghana is Ghana that is why we have different names We believe God can help us and he has helped us more than any country in the world including ghana or nigeria where there are those who proclaim themselves the so called giants of african christianityPresident Magufuli has an obligation to lead Tanzania in the fight against COVID-19. He should leave religion to the priests and prioritise saving lives. Anything else would be inhuman. There will be economic repercussions, but as Ghana’s president noted, economies can be resurrected, but dead people cannot.
haya serikali inakuficha na ukoo wako unakuficha? ukoo ni kitu kikubwa sana kwa hiyo kwenye ukoo wako wote wamekuficha kuwa hakuna hata mtu mmoja kaugua au kafa kwa corona? ukoo wenu hakuna anayeumwa hata mmoja corona ukoo mzima? kama hayupo kwa hiyo unataka koo zingine ndio watangaze wana mgonjwa wa corona anayeumwa?Hakika hali inatisha........
Ni kwanini waTZ tunafichwa kupewa taarifa ya vifo viavyotokana na ugonjwa huu wa corona?
mWACHE DOGO ANAJIFUNZA LUGHA YA MALIKIAandika kiswahili kaka lugha ya watu hiyo wote tunakielewa kiswahili
cheki burundi ndio hawana habari nazo kabisa cheki saa hizi wako kampeni za uchaguzi mkuuMtaani huku habari za COVID-19 watu washazisahau kabisa yani hakuna cha tahadhari