Tanzanian lady live interview on muosha rungu show!

Tanzanian lady live interview on muosha rungu show!

Utakalo penda
Okay...Mimi nitakuuliza maswali kadhaa

1. Kwa nini umejiita Tanzanian Lady, kipi kilikusukuma kutumia jina hili??

2. Umesema una familia (baba na mtoto), vipi wewe na Mumeo mnagawanaje majukumu ya kuitunza familia

3. Ni changamoto zipi ulizipitia kipindi cha mahusiano kuanzia urafiki>>uchumba na hatimaye kuishi pamoja/ndoa

4. Kwa wewe, maisha bora ni yapi??

5. Elimu yako uliyoipata inasaidiaje jamii inayokuzunguka bibie kwa namna moja au nyingine...
 
Atakuwa mume soon.
Sipendi tabia za kiswahili swahili yani kama ukisema yes iwe kweli yes.
Napenda watu wenye hofu ya Mungu napenda kujifunza mengi kwao
Ulianza mahusiano ya kimapenzi ukiwa Na umri gani!
Hadi sasa umekuwa Na wapenzi wangapi uliopita nao?
Je uliwahi kukutana Na mwanaume aliyekuomba penzi the first day!?
Ulimpa!
 
Okay...Mimi nitakuuliza maswali kadhaa

1. Kwa nini umejiita Tanzanian Lady, kipi kilikusukuma kutumia jina hili??

2. Umesema una familia (baba na mtoto), vipi wewe na Mumeo mnagawanaje majukumu ya kuitunza familia

3. Ni changamoto zipi ulizipitia kipindi cha mahusiano kuanzia urafiki>>uchumba na hatimaye kuishi pamoja/ndoa

4. Kwa wewe, maisha bora ni yapi??

5. Elimu yako uliyoipata inasaidiaje jamii inayokuzunguka bibie kwa namna moja au nyingine...

Naipenda sana Tanzania hii ndiyo sababu ya kujiita Tanzanian Lady

Kwa sasa majukumu yote ya kucare familia ni yake maana bado nipo masomo.

Changamoto zilikuwa nyingi tu ila kubwa ilikuwa wivu uliokithiri.

Maisha bora ni yale ambayo unaweza ukagusa wengine kwa namna moja ama nyingine
 
Atakuwa mume soon.
Sipendi tabia za kiswahili swahili yani kama ukisema yes iwe kweli yes.
Napenda watu wenye hofu ya Mungu napenda kujifunza mengi kwao
Leo Nimehudhuria Interview Mubashara Kabisa Numbisa Msalimie Morinho Ni Mwendo Wa 4G

1.Tanzania Lady Umeshawahi Kutoa Mimba Mara Ngapi?

2.Ulijisikiaje Siku Ya Kwanza Kutoka Kimapenzi Na Mtu Aliyekuzidi Umri?

3.Mara Zote iPI Ni Best Dedication Song Kwa Mpenzi Wako?

4.Je Umeshawahi Kutoa Rushwa Ya Ngono ?? Kama ndiyo Mara Ngapi na ili Upatiwe Huduma Gani!!?
Karibu Kwa Majibu........ Tanzania Lady.

"NeVeR_sAy_NeVeR"
 
Naipenda sana Tanzania hii ndiyo sababu ya kujiita Tanzanian Lady

Kwa sasa majukumu yote ya kucare familia ni yake maana bado nipo masomo.

Changamoto zilikuwa nyingi tu ila kubwa ilikuwa wivu uliokithiri.

Maisha bora ni yale ambayo unaweza ukagusa wengine kwa namna moja ama nyingine

Umesema unaipenda TZ nini wajivunia kuhusu Tanzania??

Kwa upande wako Unazungumziaje malezi ya mzazi mmoja tu?? Single Father/mother

Ulikabiliana vipi na wivu uliokithiri? ilikuwaje mpaka "UKAKITHIRI"

Wewe uonavyo, maisha ya Tanzania yana na ya huko ughaibuni yapi yana changamoto nyingi? tungependa kufahamu

**swali #5 usilisahau hapo juu[emoji115][emoji115]
 
Leo Nimehudhuria Interview Mubashara Kabisa Numbisa Msalimie Morinho Ni Mwendo Wa 4G

1.Tanzania Lady Umeshawahi Kutoa Mimba Mara Ngapi?

2.Ulijisikiaje Siku Ya Kwanza Kutoka Kimapenzi Na Mtu Aliyekuzidi Umri?

3.Mara Zote iPI Ni Best Dedication Song Kwa Mpenzi Wako?

4.Je Umeshawahi Kutoa Rushwa Ya Ngono ?? Kama ndiyo Mara Ngapi na ili Upatiwe Huduma Gani!!?
Karibu Kwa Majibu........ Tanzania Lady.

"NeVeR_sAy_NeVeR"
Sijawahi kutoa rushwa ya ngono na wala sintafanya hivyo.

Niliwahi kuwa na mpenz aliyenizid umri ilikuwa poa tu kwa wakati ule.

Dedication song ya wimbo naupenda ni Ronan Keating 'if tommorow never comes"
 
Ulianza mahusiano ya kimapenzi ukiwa Na umri gani!
Hadi sasa umekuwa Na wapenzi wangapi uliopita nao?
Je uliwahi kukutana Na mwanaume aliyekuomba penzi the first day!?
Ulimpa!

The first time nilikuwa na miaka 18
Wa sasa ni wa 3

Hapana sijawahi kukutana na mwanaume wa aina hiyo
 
Umesema unaipenda TZ nini wajivunia kuhusu Tanzania??

Kwa upande wako Unazungumziaje malezi ya mzazi mmoja tu?? Single Father/mother

Ulikabiliana vipi na wivu uliokithiri? ilikuwaje mpaka "UKAKITHIRI"

Wewe uonavyo, maisha ya Tanzania yana na ya huko ughaibuni yapi yana changamoto nyingi? tungependa kufahamu

**swali #5 usilisahau hapo juu[emoji115][emoji115]

Ukiwa nchi za watu ndiyo unaweza ukajua maana halisi ya uzalendo wa nchi yako.

Mahusiano ya mbali yalisababisha wivu mkubwa ila baada ya kumpa kababy akatulia kidogo.

Malezi ya mzazi mmoja hayafai na yanamwaribu mtoto kosaikolojia.


Umesema unaipenda TZ nini wajivunia kuhusu Tanzania??

Kwa upande wako Unazungumziaje malezi ya mzazi mmoja tu?? Single Father/mother

Ulikabiliana vipi na wivu uliokithiri? ilikuwaje mpaka "UKAKITHIRI"

Wewe uonavyo, maisha ya Tanzania yana na ya huko ughaibuni yapi yana changamoto nyingi? tungependa kufahamu

**swali #5 usilisahau hapo juu[emoji115][emoji115]
 
Back
Top Bottom