Tanzanian MPs Msigwa na Lema KTN Kenya kuhusu Lissu n.k

Tanzanian MPs Msigwa na Lema KTN Kenya kuhusu Lissu n.k

Hali ya Lissu sio nzuri ingawa inaendelea kutengemaa na ni muujiza kuwa yu hai na wanaendelea kuomba michango ya matibabu ndani na nje kutokana na gharama za matibabu kuwa aghali Nairobi......Lissu hakutoa taarifa polisi kwamba anafuatiliwa ila aliitisha mkutano wa waandishi wa habari na kuwaambia.....Dreva wa Lissu anapatiwa matibabu ya kisaikolojia Nairobi... Wanahitaji wapelelezi kutoka Ulaya kwa sababu hawana imani na polisi wa Tanzania ingawa serikali haitaruhusu na hawawezi kupeleka malalamiko yao Kikanda kwa sababu hawana imani na Kagame na Mseveni...... Siasa za Tanzania zimetoka kwenye kuzuia mikutano ya kisiasa ya hadhara (ingawa wao kama wabunge wanaifanya) na ukamataji wa wabunge na sasa ni wanawapiga risasi wabunge.....Wanamuunga mkono Uhuru kwa sababu Raila aliwasaliti kwa kumuunga mkono Maghufuli na hivyo kukiuka misingi ya siasa za upinzani......Wataendelea kupiga kelele (kupaaza sauti zao) ili watu na dunia isikie.......Hawajajua bado nani atagombea kiti cha uraisi kwa tiketi ya chama chao.
Maswali yangu ni haya:
1. Kwa nini wasitumie utaratibu wa kawaida wa bima ya afya kwa vile hatari ya usalama wake haipo kutoka na wao kuwa macho muda wote;
2. Kwa nini Lisuu hakutoa taarifa polisi ili kuwa na ushahidi (RBNo) wa kutishiwa maisha?;
3. Kwa nini hawataki kutoa ushirikiano kwa polisi ili basi kuwa na ushahidi kwamba polisi wameshindwa kutekeleza wajibu wao? Au ni kwa sababu wao ndio watuhumiwa?;
4. Kwa nini wanawasemea wananchi wa Uganda na Rwanda ambao kwao mfumo walionao wa kuendesha nchi ndio waliouamua?;
5. Wao kumuunga Uhuru (Jubilee - chama tawala) hawaoni kwamba wanakiuka misingi ya siasa za upinzani?
Wasalaam!
1. Sio bima zote zinaweza kucover gharama kubwa za matibabu kma hizi hivyo kma anayo ni ile ya kawaida tu ya check za hapa na pake sio hii ya kutibiwa nje kwa million 8 kwa siku
2. kwenye press alidai hao vijana walitumwa na sirro sasa kma uongi si wangemkamata lisu au wangewakamata hao wanaomfuatilia ili kuondoa utata maana nape anadai aliwahi ripoti polisi na pia bashe ssa nini ambacho polisi hawakijui mpka usingizie RB????

3 . polisi hawaaminiki kabisa maana mbona saanane hajapatikana au waliomuua mawazo mchana kweupe???

4. wanawasemea unauhakika?? mfumo waliamua au ni watawala ndio wameamua?? ni ukweli kagame na museveni hawaoni ya magufuli sababu nao ni walewale wameua wapinzani mpka wamemaliza wote ssa ulitegemea hao ndio wamshauri magufuli??? wakati nchini kwao wanasiasa wanalalamika kma kina msigwa pia

5. wamesema wazi kabisa wanasupport jubilee sababu ya demokrasia sio kingine zaidi
 
It doesn't matter how good or bad English speaker you may be but what matters is how good message and views you may deliver. The guys [honorables] have tabled down the situation we are facing as a nation. Even their expressions were so good. Remember those Mps can speak three languages

1. Kiswahili
2. Kichaga (Hon. Lema), Kihehe (Hon. Msigwa)
3. English

But those mzungus whom people especially illiterate try to admire and be proud of, they only speak one language (kiingereza) .
We as Tanzanian we should be proudly of our Nation and language. Regardless which political party we belong .

Be
 
It doesn't matter how good or bad English speaker you may be but what matters is how good message and views you may deliver. The guys [honorables] have tabled down the situation we are facing as a nation. Even their expressions were so good. Remember those Mps can speak three languages

1. Kiswahili
2. Kichaga (Hon. Lema), Kihehe (Hon. Msigwa)
3. English

But those mzungus whom people especially illiterate try to admire and be proud of, they only speak one language (kiingereza) .
We as Tanzanian we should be proudly of our Nation and language. Regardless which political party we belong .


Bravo Hon. Msigwa ang Hon. Lema
Natoka Zimbabwe - Ujiji

Be
 
[emoji115] The Opposition Leaders in their true selves, oh my God!

Do they realy know that Life is nothing but survival of the fittest. That is one of the fundamentals/basics of life (for all living things). To survive one must stronger than one.

Given that basic ecological law, it is no wonder what politicians strive for, and that is none other than Political Power.

A man with political power plays politics like a game of chess. He/she is the one who has to move a piece on the board. The moved piece only fulfills its role in that position it has been placed. If the piece safeguards the play towards winning, the victory does not go to that piece but to the player.

Unfortunately the opposition leaders, the likes of Msigwa and Lema, are still conducting politics like a child's game of seek and hide. They think people will listen to their woes by making noise, as they have put it, in that interview.

Poor Msigwa and Lema, you have got a long way to be real politicians. Continue with your whistle blowing, in the media or political arenas, with hope that the international community will listen to your rhetorics.

Tunacho shuhudia sasa ni uwezo mkubwa wa kuendesha siasa, kisayansi, aliokuwa nao Rais MAGUFULI. Amewazidi kwa kila hali katika politics and power. Wamabaki kulilia kwenye mitandao na vyombo vya habari (kama hao akina Msigwa na Lema), ati Tanzania hakuna demokrasia. Sijui kama hata hiyo maana halisi ya demokrasia wanaijua, maana uhuru wanaoutaka ndio huo walioutumia wa kuongea huko KTN. Ni aibu kwa mwanasiasa aliyekomaa kutumia shambulizi la Lissu la kiaharifu kuwa mtaji wa kisiasa na kimaslahi.

Watu wengi, hasa wafuasi wa upinzani, wanadai kuwa ni muda tu, kana kwamba huo muda unawasubiri wao tu!!

Liwezekanalo leo lisingoje kesho, wahenga walinena.

MSIGWA na LEMA ACHANENI NA SIASA ZA KITOTO.
sayansi gani wakati anatumia mabavu ya kidikteta kupambana na maendeleo hivi unafkiri bunge likiwa huru kuisimamia serikali na mikutano plus uhuru wa kisiasa kufanya mikutano ukiwepo unadhabi magufuli anauwezo wa kucontent ngvu ya upinzani???

kma anatumia sayansi je kivp awazibe midomo wapinzani?? wwe unasema waache kulialia unataka wabebe bunduki au waanze ugaidi kama syria ili tuheshimiane ama ulitakaje maana unalaumu tu hutoi suluhisho

acheni kumpamba dikteta iko siku akiwageukia nyie kma museveni alivyogeukia NRM sasa na kuanza kuwamaliza wanaompinga ndipo mtakapogundua udhalimu wake nuie endeleeni kutumika tu nape yukwapi na kidomo chake ??
 
Boss how did u find out that nobody cares??? Seeking sympathy on which grounds??? Brother that was an interview to talk abt the issue which brought them to kenya which turns out to be caressing lissu's wounds of 8 bullets!!! then what did u expect them to talk about! since when is stressing out facts has turned out to be sympathy-seeking????

another thing is ur talkin abt thr presentation which according to u its shambolic however to me i find its fine since whatever they had planned to enlight the world has been heard and thats more important whether with poor accent or grammar!!! so instead of discussing their presentation skills i guess we should analyse the content and to me they delivered a right message at the right time and place!!

Did you say the interview was meant to talk abt the issue that brought them to Kenya? And what's that issue if I may ask? Should it be lissu's assassination attempt? I think th answer is yes (according to you)


But let me prove you wrong! The purpose of the interview was to talk abt POLITICS IN TANZANIA. I ask you to re-watch the video or have a look at the screenshot below!

IMG_20170919_085957.jpg


So we have a lot political issues happening in Tanzania though Lissu's case is inclusive!

Also you asked me on how I found out that no body cares! Let me tell you, with an exception of lissu's case (which of course everybody is concerned with his wellbeing), the rest are not a topic of discussion!


Take an example of this thread, Most Kenyans are talking abt their poor way of expressing things and not what they said! Visit their social media, kenya talk, twitter and some blogs, the story is the same, it's all abt poor English and the likes! This is a proof that no body cares abt what they uttered!

Also I need to remind you that no accent is poor, and no body has ever said abt that! Just the poor English while they had all the opportunity to talk in Swahili!

And you wanted to knw how those guys intended to seek sympathy? Let me ask you! If you tell kenyans that you aren't allowed to commence political rallies out of your constituency, the police are seeking for you whilst you are in Nairobi, and likes, what do you expect Kenyans to do for you? Congratulate you? Feel sorry for u? or join you in the fight? obviously you expect them to feel sorry for u! and that's sympathy seeking!
 
Did you say the interview was meant to talk abt the issue that brought them to Kenya? And what's that issue if I may ask? Should it be lissu's assassination attempt? I think th answer is yes (according to you)


But let me prove you wrong! The purpose of the interview was to talk abt POLITICS IN TANZANIA. I ask you to re-watch the video or have a look at the screenshot below!

View attachment 591399

So we have a lot political issues happening in Tanzania though Lissu's case is inclusive!

Also you asked me on how I found out that no body cares! Let me tell you, with an exception of lissu's case (which of course everybody is concerned with his wellbeing), the rest are not a topic of discussion!


Take an example of this thread, Most Kenyans are talking abt their poor way of expressing things and not what they said! Visit their social media, kenya talk, twitter and some blogs, the story is the same, it's all abt poor English and the likes! This is a proof that no body cares abt what they uttered!

Also I need to remind you that no accent is poor, and no body has ever said abt that! Just the poor English while they had all the opportunity to talk in Swahili!

And you wanted to knw how those guys intended to seek sympathy? Let me ask you! If you tell kenyans that you aren't allowed to commence political rallies out of your constituency, the police are seeking for you whilst you are in Nairobi, and likes, what do you expect Kenyans to do for you? Congratulate you? Feel sorry for u? or join you in the fight? obviously you expect them to feel sorry for u! and that's sympathy seeking!
That is strictly your opinion they said nothing to seek sympathy rather Lema was very clear that they are agitating for international intervention because of the dictatorial regime trying to dismantle opposition in Tanzania thus they are helpless and vulnerable to such assasinations for example mawazo alphonce and ben saanane thus they have no internal bodies which could guarantee their safety

2. The topic is about politics of Tanzania but at the peak it was all about lisu coz that is the biggest topic in opposition political sphere in Tanzania now what else did you expect them to talk about while its clear that being an opposition in Tanzania is a guarantee to your death !! if i may to ask what did u want them to talk about???

3. kenyans dont care becoz of mere social networks ?? KTN is worldwide and i have a couple of friends in kenya who watched it and had mixed feelings about the tanzanian dictatorial regime as i may call it. At least go to you tube and check this very video u has taken a screenshot people only had to comment about the subject not the mode of presentation now among millions of KTN viewers countrywide u base ur conclusion from 20 comments on social media??? this is a joke for sure

finally i would like to remind u that they spoke english becoz the target audience was the international community thats all
 
Nilipowasikiliza hawa waheshimiwa wetu, nikajaribu kuwaza kama CHADEMA wangeshinda uchaguzi wa 2015! Hawa ndo wanasemekana ni kati ya wabunge machachari; ina maana wasingeukosa uwaziri.
Just imagine hawa ndo mawaziri sasa! Wanawakilisha Tanzania na hata mambo ya kimataifa hawajui hata diplomatic ethics hawana kabisaaaaa - Yaani nilikuwa nasikia kama moyo unanisimama kwa aibu walipokuwa wanaongea
Yaani kiukweli hakuna kitu kabisa .... Kama upinzania wenyewe ndo huu wa watu wepesiwepesi vichwani kama hawa.
Unapoongea nje ya nchi ama kwenye vyombo vya habari vya nje unapaswa kuwa na akili ndeefu sana sana. Mwana diplomasia yoyote aliyebobea huwa anafahamu nini cha kuongea na wakati gani na anaelewa umuhimu wa nchi yake katika ngazi ya kimataifa. Wao walikuwa wanaongea kama wako kwenye sehemu za wapiga kura wao
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Huwezi kumkuta mkenya anafanya mambo ya kiji ga kma hiki kwenye nchi za kigeni,
 
Nilipowasikiliza hawa waheshimiwa wetu, nikajaribu kuwaza kama CHADEMA wangeshinda uchaguzi wa 2015! Hawa ndo wanasemekana ni kati ya wabunge machachari; ina maana wasingeukosa uwaziri.
Just imagine hawa ndo mawaziri sasa! Wanawakilisha Tanzania na hata mambo ya kimataifa hawajui hata diplomatic ethics hawana kabisaaaaa - Yaani nilikuwa nasikia kama moyo unanisimama kwa aibu walipokuwa wanaongea
Yaani kiukweli hakuna kitu kabisa .... Kama upinzania wenyewe ndo huu wa watu wepesiwepesi vichwani kama hawa.
Unapoongea nje ya nchi ama kwenye vyombo vya habari vya nje unapaswa kuwa na akili ndeefu sana sana. Mwana diplomasia yoyote aliyebobea huwa anafahamu nini cha kuongea na wakati gani na anaelewa umuhimu wa nchi yake katika ngazi ya kimataifa. Wao walikuwa wanaongea kama wako kwenye sehemu za wapiga kura wao
Acha kejeli wwe ina maana msigwa na lema hawajui chochote kichwani really?? Hyo ni interview ndio platform ya wao kueleza madukuduku yao sababu hoja mezani ni siasa za Tanzania hawajasema wazungumzie uchumi ama utamaduni sasa niambie ni kipi msigwa kazungumza ambacho hakijui ama lema???

kma unaona hawa ni vilaza sana kuwa mawaziri naomba uniambie hao maccm ambao unaona ndio wanaweza uwaziri sana wamesaidia nini mpka sasa miaka 50 nchi maskini na hta huyo mahiga mwenyewe na maPHD yote kashindwa hata kuleta wawekezaji wa viwanda au hta kuleta wanunuzi wa gesi asilia ambalo CAG kasema imedoda kupata wateja
 
Huwezi kumkuta mkenya anafanya mambo ya kiji ga kma hiki kwenye nchi za kigeni,
Sasa lisu kapigwa risasi unataka wawe wanafki waanze kusifia Kuwait kuna demokrasia Tanzania??? kma wakenya hawawezi kwa taarifa ababu namwamba akiwa mkutano wa kisera wa ACT aliikaanga sana serikali ya jubilee kma hujui kitu ni heri unyamaze kuliko kupotosha
 
sayansi gani wakati anatumia mabavu ya kidikteta kupambana na maendeleo hivi unafkiri bunge likiwa huru kuisimamia serikali na mikutano plus uhuru wa kisiasa kufanya mikutano ukiwepo unadhabi magufuli anauwezo wa kucontent ngvu ya upinzani??? bunge la wabunge wapi, hao wanaojidharirisha wenyewe na kususia vikao vyao. Hao wabunge wanaokimbilia kwenye vyombo vya habari badala ya kurudi kwetu wapiga kura! Ujinga na utoto tu wanaoufanya. Mtu mzima hakimbii tatizo ila kulikabili.

kma anatumia sayansi je kivp awazibe midomo wapinzani?? hiyo midomo inayoongea kwenye vyombo vya habari wameazima!wwe unasema waache kulialia unataka wabebe bunduki au waanze ugaidi kama syria ili tuheshimiane ama ulitakaje maana unalaumu tu hutoi suluhisho hayo mawazo yako ya kuchukua silaha na kuanzisha ughaidi isiwe ndiyo agenda ya upinzani! Tanzania hii unakuwa na mawazo hayo! Du! Umeshindwa kufikiri! Mna hatari sana nyie. Nisingependa kuhusisha wazo lako hilo na kibachoendelea sasa hivi nchini kiusalama wetu na mali zetu.

acheni kumpamba dikteta iko siku dua ovu katika nchi yako akiwageukia nyie kma museveni alivyogeukia NRM sasa na kuanza kuwamaliza wanaompinga ndipo mtakapogundua udhalimu wake nuie endeleeni kutumika tu nape yukwapi na kidomo chake ??


Huo ni ubishi wa kitoto na wa kinafiki na kidhalimu, maana wanayoyahubiri, hao unaowaenzi, hayaniletei mimi na familia yangu mkate mezani. Wanachokifanya ni kujipatia umaarufu kisiasa kwa faida yao na famalia zao. Labda nikukumbushe maana ya Power and Politics ndiyo ufumbuke akili.

Power and Politics: first you use the people to get at the top, then you hurt and exploit them to stay at the top. Hicho ndicho wanachokifanya viongozi wa upinzani kwako wewe, na wenye mawazo kama wewe. Unatumika kuwaingiza Ikulu. Na wakifika huko, hawatafanya kile anachokifanya hivi leo Rais Magufuli, ambaye amejipambanua kuwa ni mzalendo wa kweli, katika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa nchi hii.

Anakichofanya Rais Magufuli ya kuendesha vita ya uzembe kazini na urasmu, rushwa, ufisadi, madawa ya kulevya, na vita ya kiuchumi, ndicho kinanipa matumaini mimi na familia yangu.

Angalau kwa sasa:
1) nimeweza kumpeleka mwanangu shule bila kuwa na shinikizo la kutafuta ada.
2) ninakwenda ofisi ya serikali na kuhudumia bila kuzungushwa.
3) kama mkulima nina uhakika wa kuuza mazao yangu, maana miundo mbinu inaboreshwa na kuimarishwa.
4) uhuru niliokuwa nao, mimi kama mimi, wa kutoa mawazo bado ninao, na ndiyo maana nachangia kwenye mitandao ya kijamii, pasipo hofu.
5) ninapata habari zote, mbaya na nzuri, kuhusu Serikali pasipo hofu.
6) nafuata sheria bila shurti.

Na ninamini kuna mengi mazuri niyategemea, na nitayapata kama mimi, kutoka kwa serikali hii na wala singojei "TIME WILL TELL", kama wewe mithili ya fisi na mkono wa binadamu (rejea aya yako ya mwisho).
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Acha kejeli wwe ina maana msigwa na lema hawajui chochote kichwani really?? Hyo ni interview ndio platform ya wao kueleza madukuduku yao sababu hoja mezani ni siasa za Tanzania hawajasema wazungumzie uchumi ama utamaduni sasa niambie ni kipi msigwa kazungumza ambacho hakijui ama lema???

kma unaona hawa ni vilaza sana kuwa mawaziri naomba uniambie hao maccm ambao unaona ndio wanaweza uwaziri sana wamesaidia nini mpka sasa miaka 50 nchi maskini na hta huyo mahiga mwenyewe na maPHD yote kashindwa hata kuleta wawekezaji wa viwanda au hta kuleta wanunuzi wa gesi asilia ambalo CAG kasema imedoda kupata wateja

Wewe hapo ulipo sasa na wenzako hao wote ni matunda ya kilichofanyika miaka 50, Kila kukicha kelele za cheap politics tumechoka sasa, hatuhitaji siasa sasa tunataka kuona visible things being implemented positively for our development, watu hawali cheap politics kama hizi mnazofanya. Ni udogo wa mawazo na exposure
 
Sasa lisu kapigwa risasi unataka wawe wanafki waanze kusifia Kuwait kuna demokrasia Tanzania??? kma wakenya hawawezi kwa taarifa ababu namwamba akiwa mkutano wa kisera wa ACT aliikaanga sana serikali ya jubilee kma hujui kitu ni heri unyamaze kuliko kupotosha
Weka link,vinginevyo ww ni muongo.
 
Sasa lisu kapigwa risasi unataka wawe wanafki waanze kusifia Kuwait kuna demokrasia Tanzania??? kma wakenya hawawezi kwa taarifa ababu namwamba akiwa mkutano wa kisera wa ACT aliikaanga sana serikali ya jubilee kma hujui kitu ni heri unyamaze kuliko kupotosha

Kwahiyo Kenya wana demokrasia! Mbona unachekesha
 
Hao ndio wasomi wao ..mbowe kakimbia nasikia alialikwa
 
Dah! Ila maneno wanayoyasema kama ni kweli basi hiyo Tanzania yenu inatumbukia mkiona kwa amcho yenu, huyo Msigwa anasema tayari anatafutwa na polisi huko nyumbani.

Hii Afrika tuamue kimoja, labda tuache hiki kiigizo tunaita demokrasia, tuishi chini ya utawala wa kiimla kama Korea Kaskazini au tukubali demokrasia ya kweli, haya maigizo ya kudanganya wazungu ili waendelee kutupea misaada ni aibu tupu.
Wakenya mkimsikiliza msingwa mtakuwa wapumbavu .. Huyo jamaa anatafutwa na wananchi jimboni kwake maana hawamuoni ati
 

Huo ni ubishi wa kitoto na wa kinafiki na kidhalimu, maana wanayoyahubiri, hao unaowaenzi, hayaniletei mimi na familia yangu mkate mezani. Wanachokifanya ni kujipatia umaarufu kisiasa kwa faida yao na famalia zao. Labda nikukumbushe maana ya Power and Politics ndiyo ufumbuke akili.

Power and Politics: first you use the people to get at the top, then you hurt and exploit them to stay at the top. Hicho ndicho wanachokifanya viongozi wa upinzani kwako wewe, na wenye mawazo kama wewe. Unatumika kuwaingiza Ikulu. Na wakifika huko, hawatafanya kile anachokifanya hivi leo Rais Magufuli, ambaye amejipambanua kuwa ni mzalendo wa kweli, katika ngazi ya juu kabisa ya uongozi wa nchi hii.

Anakichofanya Rais Magufuli ya kuendesha vita ya uzembe kazini na urasmu, rushwa, ufisadi, madawa ya kulevya, na vita ya kiuchumi, ndicho kinanipa matumaini mimi na familia yangu.

Angalau kwa sasa:
1) nimeweza kumpeleka mwanangu shule bila kuwa na shinikizo la kutafuta ada.
2) ninakwenda ofisi ya serikali na kuhudumia bila kuzungushwa.
3) kama mkulima nina uhakika wa kuuza mazao yangu, maana miundo mbinu inaboreshwa na kuimarishwa.
4) uhuru niliokuwa nao, mimi kama mimi, wa kutoa mawazo bado ninao, na ndiyo maana nachangia kwenye mitandao ya kijamii, pasipo hofu.
5) ninapata habari zote, mbaya na nzuri, kuhusu Serikali pasipo hofu.
6) nafuata sheria bila shurti.

Na ninamini kuna mengi mazuri niyategemea, na nitayapata kama mimi, kutoka kwa serikali hii na wala singojei "TIME WILL TELL", kama wewe mithili ya fisi na mkono wa binadamu (rejea aya yako ya mwisho).
na nmeelewa ssa. kwanni unashabikia udhalimu sababu hauathiriki nao kma anavyoathirika lisu na familia yake ama saanane na familia yake that is a selfish mind

1 elimu bure inakufaidisha basi unasahau kuwa wanafunzi zaidi ya elf 50 wanamaliza darasa la saba hawajui kusoma na kuandika ila wwe unaangalia upande wako tu

unasahau kuna familia za walimu zinataabika sababu walimu wana madeni toka 2009 hawajalipwa mpaka leo wwe unshabikia tu upande wako hivi unafkiri lisu anashindwa kula na kulala kwa kuangalia maslahi yake kuliko kuisimamia serkali bungeni mpka anarisk maisha yake???

kwa akili kma zako mandela lumumba na nyerere wasingekuwepi kabisa

kingine nmekuuliza kina msigwa unaona wanalialia je unawashauri wafanyeje ssa ambapo unaona kma wanachofanya wanakosea yaani whats ur advise to them wajitoe muhanga kma Hamas na Fatah????

unasema wako pale sababu ya matumbo yao je kwanni basi arisk kupigwa risasi 40?? si angekuwa moderate kma kina mrema na cheyo??

anyway kma kupigania haki ya watanzania ni unafki basi lisu aendelee tu kuwa mnafki we r behind him
 
Kwahiyo Kenya wana demokrasia! Mbona unachekesha
At least far better than Tanzania rail ametishia mpka jeshi hadi kazuia watu wasiende kazini ila bado hajaitwa mchochezi wala kulala jela hivi Tanzania inawezekana hiyo??
 
Wakenya mkimsikiliza msingwa mtakuwa wapumbavu .. Huyo jamaa anatafutwa na wananchi jimboni kwake maana hawamuoni ati
acha utani mambo serious huyo msigwa ni kati ya wabunge wanaopiga sana maendeleo jimboni na kawaambie kma mwakalebelea alishindwa 2015 basi mahiga na kasesera wanajisumbua tu hyo 2020
 
Back
Top Bottom