GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,300
Yaaani wanahamu nae balaa wakati huku mhhhhSipati picha wakenya watakavyo jazana ili kumuona Magufuli, maana walimsubiri kwa hamu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaani wanahamu nae balaa wakati huku mhhhhSipati picha wakenya watakavyo jazana ili kumuona Magufuli, maana walimsubiri kwa hamu sana.
Ok. Sawa pamoja na hivyo we dont want vibaraka.Specioza Kazibwe wa Uganda alishachujwa kwa hiyo hatagombea.
Msaada wanini kwenu maskini wa kutupwa?Dont have time for this.....aje aombe msaada ....wewe panic tu!!
Endelea kuwa Kibendera tu huna loloteMumuzuie asiongeee. Lasivyo mtakuja sema wenyewe
Wachana na litoto lidogo hiloWewe dogo sidhani kama unauwezo wa kudadavua mambo zaidi ya chuki juu ya TZ.
Kenya mpo na nini cha kujivunia tuje kuomba msaada?
Acha roho ya kunguni ndugu utakufa kwa maji ya moto.
Hatuhitaji chochote kwenu.
Wale watanzania omba omba wanaoishi kenya wako na hamu kabisa, sisi wengine tutakua tunaenda kazini tunasmamishwa tunaona vigari viko na bendera vinatupita..... alafu badae tunaona kwa habari za jioni kwamba rais wa tz alikua kenya kwa ziara alafu ndo tunakumbuka, 'oooh, vile vigari vilitupita ndo maana vilikua na bendera tofauti na ile ya kawaida ya kenya'Sipati picha wakenya watakavyo jazana ili kumuona Magufuli, maana walimsubiri kwa hamu sana.
Achana naye huyo mkenya. Atakupotozea muda wako bure.Msaada wanini kwenu maskini wa kutupwa?
Mnakufa na njaa hovyo hovyo.
Hovyo hovyo = ovyo ovyo.Msaada wanini kwenu maskini wa kutupwa?
Mnakufa na njaa hovyo hovyo.
Wewe unajua kiswahili sasa!!!? Nenda shule ya kiswahili.Hovyo hovyo = ovyo ovyo.
punguza povu uandike vizuri papara za nini
Jaribu kutazama wenzio jinsi wanavyovutiwa na uongozi wa Magufuli..
Tazama tena mkenya akitoa darasa kwa rais wenu ili awe kama Magufuli..
Magufuli amekuwa gumzo kila mahali hadi kwenye vituo vya televisheni vya Kenya..
Hadi kwenye vichekesho..
Najua una shauku ya kumuona, jitahidi siku hiyo uwe mbele ya umati ili umshike hata mkono[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Annael come see!! Even ur fellow TZ man says the sameHovyo hovyo = ovyo ovyo.
punguza povu uandike vizuri papara za nini
Ngoja TingaTinga afike ndiyo utathibitisha usemi wako!
Ilitosha kabisa kaniuliza, "wewe unajua Kiswahili? " . Hukua na haja ya kuongezea neno " sasa".Wewe unajua kiswahili sasa!!!? Nenda shule ya kiswahili.
[emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji121][emoji121][emoji121]Ilitosha kabisa kaniuliza, "wewe unajua Kiswahili? " . Hukua na haja ya kuongezea neno " sasa".
Bado nakusisitizia PUNGUZA POVU.
Wewe Mbwiga, hebu soma hiyo quote ya juu, baba yenu anataka kuwaombea msaada.His Host, President Uhuru Kenyatta, is also expected to lobby for a clear stand on work permits for Kenyans living and working in Tanzania.
Msaada tu!!.....and am way older than u might think
Nikwambie kitu dogo. Kiswahili hujui. Hebu turudi kwenye mada maana hapa unajidhalilisha.Ilitosha kabisa kaniuliza, "wewe unajua Kiswahili? " . Hukua na haja ya kuongezea neno " sasa".
Bado nakusisitizia PUNGUZA POVU.
Jaribu kutazama wenzio jinsi wanavyovutiwa na uongozi wa Magufuli..
Tazama tena mkenya akitoa darasa kwa rais wenu ili awe kama Magufuli..
Magufuli amekuwa gumzo kila mahali hadi kwenye vituo vya televisheni vya Kenya..
Hadi kwenye vichekesho..
Najua una shauku ya kumuona, jitahidi siku hiyo uwe mbele ya umati ili umshike hata mkono[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Annael [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji106][emoji106][emoji106]Nikwambie kitu dogo. Kiswahili hujui. Hebu turudi kwenye mada maana hapa unajidhalilisha.