tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Uku jf nikutambiana nakurushiana maneno kama gengeni ....mada zinatolewa +ve comments zinakua chache pumba nyingi na mapovu yasionasababu...
Sijui ndio tabia za watu warika moja au shida iko wapi. . . ..threads by nyingi kila kitu mtu anatengeneza Uzi. ..
Utafika mda ata mtu akilaatatengeneza Uzi sasa na kupost picha.....embu tubadilike guys tabia za ajabu za nn??
Sijui ndio tabia za watu warika moja au shida iko wapi. . . ..threads by nyingi kila kitu mtu anatengeneza Uzi. ..
Utafika mda ata mtu akilaatatengeneza Uzi sasa na kupost picha.....embu tubadilike guys tabia za ajabu za nn??