Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Huyu dada ananishangazaga sana wadau yaani mimi huwa simuelewi,utamkuta masaa 24 kazi yake ni kushinda kwenye mitandao ya kijamii ,mda wote yupo insta na wasap alafu naambiwa ni mke wa mtu khaaa..hata mimi naamini huyu mzungu alikuwa mvumilivu kweli kweli.
wakuu huyu dada kipindi cha kampeni kama mlikuwa mnafuatilia post zake instagram ni mitandao mingine ya kijamii kwenye account zake alikuwa mstari wa mbele kuishabikia ccm na huyuhuyu ndio aliyemsema lowassa kajinyea wala si mwingine,,lakini cha kushangaza juzi kati hapa...amekigeuka chama chake gafla na kuugeukia upinzani,,,sikuizi anajifanya kupinga chama chake ,now amefikia kumponda hadi magufuli aliyekuwa akimsifia kuwa ni dikteta na juzii nilimnukuu akisema kuwa wabunge wa ccm ni majipu......vilevile wakuu huyu dada namfananisha na mwanajeshi mwoga anayejifanya kupigania haki za nchi yake wakati yeye kajificha kwenye nchi ya adui
Huwezi pigania haki za nchi yako wakati unajijua umejificha kwenye nchi za watu
Huyu dada nna wasiwasi nae atakuwa anakula bangi au hana akili timamu

Huyu dada alizidi kwa kweli. Hata mchina asingeweza
 
Mi namshangaa utajifanyaje unaipenda mchi yako instsgram na facebook?
 
Ila sidhan kama atafurahi, watoto aliozaa na mzungu watamuokoa
 
Huyu dada ananishangazaga sana wadau yaani mimi huwa simuelewi,utamkuta masaa 24 kazi yake ni kushinda kwenye mitandao ya kijamii ,mda wote yupo insta na wasap alafu naambiwa ni mke wa mtu khaaa..hata mimi naamini huyu mzungu alikuwa mvumilivu kweli kweli.
wakuu huyu dada kipindi cha kampeni kama mlikuwa mnafuatilia post zake instagram ni mitandao mingine ya kijamii kwenye account zake alikuwa mstari wa mbele kuishabikia ccm na huyuhuyu ndio aliyemsema lowassa kajinyea wala si mwingine,,lakini cha kushangaza juzi kati hapa...amekigeuka chama chake gafla na kuugeukia upinzani,,,sikuizi anajifanya kupinga chama chake ,now amefikia kumponda hadi magufuli aliyekuwa akimsifia kuwa ni dikteta na juzii nilimnukuu akisema kuwa wabunge wa ccm ni majipu......vilevile wakuu huyu dada namfananisha na mwanajeshi mwoga anayejifanya kupigania haki za nchi yake wakati yeye kajificha kwenye nchi ya adui
Huwezi pigania haki za nchi yako wakati unajijua umejificha kwenye nchi za watu
Huyu dada nna wasiwasi nae atakuwa anakula bangi au hana akili timamu


mkuu wewe hata ID tu ni ya uongo, angalau mwenzako anajulikana

ni hivi sio kigeugeu ni kuwa anayasema ya moyoni na sio mwongo, sio mnafiki

kuwa anashinda mtandaoni muda mrefu hiyo ndo maada tata na maridhawam japo inakugusa na wewe kuwa mlikuwa pamoja muda huo
 
mkuu wewe hata ID tu ni ya uongo, angalau mwenzako anajulikana

ni hivi sio kigeugeu ni kuwa anayasema ya moyoni na sio mwongo, sio mnafiki

kuwa anashinda mtandaoni muda mrefu hiyo ndo maada tata na maridhawam japo inakugusa na wewe kuwa mlikuwa pamoja muda huo

Hivi mkeo angeshinda mitandaoni Kama Mange mngeelewana?
 
bora tupumzike maana hyo mke wa mzungu!!llooohh!hatunywi chaiii!!hatupumui!!
yaani alikua anaona wanaochwa wote km no failures flani hv !!kumbe ni talaka no matokeo tu ya kushindwana maana ktk maisha ya ndoa ni kua unaenda ishi na MTU usiemjua mmekutana ukubwani,malezi tofauti nk
so km mtasurvive till death its OK na mkiachana sawa tuu
 
Inasemekana ndoa ya Mange Kimambi imefika ukingoni. Ni habari ya kusikitisha sana kwa wapendwa wake ila kwa wengine ni furaha isiyo na kifani
aca00697379c3d7fbe8bcba301cfb5f3.jpg



Huyo Mzungu ajifunze, kamwe usijichanganye na masikini kama wewe ni tajiri kuna sababu kwa nini watoto wa Wafalme au Mabilionea huwa hawaoi masikini wasiowafahamu, wewe kama unataka kusaidia masikini toa fedha wape halafu achana nao waishi wenyewe kwa wenyewe, sasa cha moto atakiona siajabu nyumba ikauzwa wakagawana mkwanja ambao hawakuuchuma pamoja, dadadeki!

Hilo pia ni fundisho kama wewe ni mtoto wa kishua Bongo usijidanganye hata siku moja kwenda kuoa Tandale au kwetu Ilala Kota utalia siku moja, ni bora uoe huko huko huko kwa washua O'bey, kwa maana ukichukuwa mtoto wa Ilala Kota lazima atakudanganya tu na kukutoroka kuja kwa masela kutukumbushia, somo hilo watoto wa kishua achaneni kabisa na watoto wa uswazi kwetu hawa hawafugiki tunawezana wenyewe tu ...
 
Back
Top Bottom