Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Mkuu umenena. US usimguse mke au watoto utaenda Segerea.
 
Mkuu Numbisa hiyo Segerea ni kiwakilishi cha lupango popote pale. Dikywa na maana US kuna lupango inaitwa Segerea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu hampendi Zari. Huyu ni muke ya Mzungu mweny pesa. Upo hapo.[emoji23]
Pesa wapi wewe angekua hivyo kimasikini masikini tu pesa za uyo Mzungu bana unamlazimishia utajiri uyo mange kimavi
 
Inasemekana ndoa ya Mange Kimambi imefika ukingoni. Ni habari ya kusikitisha sana kwa wapendwa wake ila kwa wengine ni furaha isiyo na kifani
It's another page of her life. She need to be calm,apologize to her husband, her friends and her INLAWS as well.Other wise,it is high time for her to regret
 
Kumbe account zake zipo hacked na kufutwa naona kafungua account mpya akilalamika bila gazeti(caption fupi fupi za uoga)
 
Sio kweli Us Kuna Umri wa kisheria wa Watoto, Miaka 18 ni umri wa kuwajibika, 21 Ni umri kamili wa utegemezi, Ukiwa chini ya miaka 21 bado una haki ya kuwa chini ya ulezi wa mzazi na anawajibika some how, baada ya miaka 21 hawajibiki kwa lolote na hata ukitaka kuadapt mtoto unaruhusiwa, lakini huruhusiwi kuadopt mtoto ukiwa na umri chini ya 21.
 
Kumbe account zake zipo hacked na kufutwa naona kafungua account mpya akilalamika bila gazeti(caption fupi fupi za uoga)
Mange ana page mbili zinazofahamika ni za kwake moja kafanya kuidisable na nyingine iko wazi sasa hivi kuna page nyingi zinafunguliwa kwa jina lake ili kutafuta follows!
 
EHH. .HAYANIHUSU TENA. ..WATAJIJU
 
Kumbe account zake zipo hacked na kufutwa naona kafungua account mpya akilalamika bila gazeti(caption fupi fupi za uoga)
mkuu unaweza kuta siyo yeye maana watu hawakawii kutake advantage ya kupata followers...
 
Hana page mbili ana fekero za kutosha. Hizo mbili ndio kaziweka wazi.
Mange ana page mbili zinazofahamika ni za kwake moja kafanya kuidisable na nyingine iko wazi sasa hivi kuna page nyingi zinafunguliwa kwa jina lake ili kutafuta follows!
 
Inasemekana kakamwatwa sasa sijui kweli au tzshaderoom ana hisi hivyo?? Let's wait and see
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…