Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
- Thread starter
-
- #261
wtf is this ,yaani tushasema ni chakula mnaleta panya na wanyama hivi watu wengine mna akili kweli?
Wastahamilie tu waswahili ndotulivowtf is this ,yaani tushasema ni chakula mnaleta panya na wanyama hivi watu wengine mna akili kweli?
kwenye tradition food unaweka panya msenge wewe.
kwanini mnakera watu
Yaah tonge hapa, kutoeza kule nyama huku zungulukee inaitwaraha ya ugali mboga ziwe nyingi kama ivi
View attachment 2653883
Jaribu kuwa na lugha yenye staha na ukubali kujifunza usichokijua, Pili heshimu tamaduni na vyakula vya jamii zingine za kitanzania hata kama ukubaliani nazo.wtf is this ,yaani tushasema ni chakula mnaleta panya na wanyama hivi watu wengine mna akili kweli?
kwenye tradition food unaweka panya msenge wewe.
kwanini mnakera watu