Tanzanian traditional local foods

Kwa wale wasiyofahamu,hivyo ni viazi vitamu vinavyo hifadhiwa kwa njia mbili.Picha ya kwanza ni viazi vibichi vilivyu katwa katika hali ya vipande bapa na kukaushwa kwa jua(MICHEMBE AU MAKEWE).Picha namba tatu, maandalizi yanafana kiatua naya picha namba 1,ila tofauti ni hapa viazi vinachemshwa kwanza kisha ndiyo vikatwa na kuanikwa(MATOWOLWA AU MATOVOLWA).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…