Tanzanian traditional local foods

Hakika wazee wetu walitufunza njia hizi na zingine mbali japo vizazi vya sasa udharau ujuzi huo.Na kadri siku zinavyo kwenda ndiyo maarifa haya ysnapotea.
 
Asante kwako pia mkuu kwa uzi huu.
 
Hakika wazee wetu walitufunza njia hizi na zingine mbali japo vizazi vya sasa udharau ujuzi huo.Na kadri siku zinavyo kwenda ndiyo maarifa haya ysnapotea.

Kweli mkuu, ni vyema tukapambana kuhifadhi urithi huu adhimu kwa ajili ya kizazi kijacho huwezi jua ikiwa nyuzi kama hizi zitakuja kuwafikia walengwa nyakati hizo siye hatupo.
 
wadau wakuwe wanafanya festival kubwa ya vyakula vya asili kila kwota ya mwaka.
Ikibidi paongezwe na mbinu za asili za kujamiiana.
Kuna wanawake watakufa bila kupigwa katerero hivi hivi jaman! Hebu fikiria ufe hujawai kufika climax wala kusquirt!
 

Attachments

  • images.jpeg
    39.1 KB · Views: 9
wadau wakuwe wanafanya festival kubwa ya vyakula vya asili kila kwota ya mwaka.
Ikibidi paongezwe na mbinu za asili za kujamiiana.
Kuna wanawake watakufa bila kupigwa katerero hivi hivi jaman! Hebu fikiria ufe hujawai kufika climax wala kusquirt!
[emoji23][emoji23][emoji23]eti Katerero[emoji125][emoji125][emoji125][emoji1787]
 
wadau wakuwe wanafanya festival kubwa ya vyakula vya asili kila kwota ya mwaka.
Ikibidi paongezwe na mbinu za asili za kujamiiana.
Kuna wanawake watakufa bila kupigwa katerero hivi hivi jaman! Hebu fikiria ufe hujawai kufika climax wala kusquirt!
Nakuunga mkono kwenye hilo wazo la kuanzisha festival ya vyakula vya asili na tamaduni zetu ikiwemo ngoma, unyago, mila, desturi,mahusiano, n.k walahu kwa kila ukanda katika kipindi fulani cha mwaka na pia tutumie vyema mwanya wa maadhimisho ya utalii na Nanenane kuonyesha na kuvitangaza vyakula vyetu vya asili na tamaduni zetu.
 
Siasa mpaka kwenye mapishi!
 
Siasa mpaka kwenye mapishi!
Mapishi ni sanaa inayopaswa kupewa nafasi ya kutambuliwa kutokana na mchango wake mkubwa katika kuimarisha afya zetu na kutupatia sababu moja wapo ya kuishi.

Tunaposema tujivunie tamaduni zetu kama watanzania ni pamoja na vyakula vyetu vya asili, hivyo hapa hatuzungumzi SIASA hapa tunaongelea utanzania na urithi wetu utakaofanya watanzania wathamini vya kwao zaidi na wasio watanzania wavutiwe kuzuru kwetu kwa nia ya kujionea na kufurahia pamoja nasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…