Tanzanian traditional local foods

Tanzanian traditional local foods

Vitafunywa
FB_IMG_16851336585504498.jpg
FB_IMG_16851340448856047.jpg
FB_IMG_16851340159911160.jpg
FB_IMG_16851343857716217.jpg
FB_IMG_16851338755027340.jpg
FB_IMG_16851338268898455.jpg
FB_IMG_16851359009887219.jpg
FB_IMG_16851387486841279.jpg
FB_IMG_16851336718419543.jpg
FB_IMG_16851372768642896.jpg
 
Loshoro, Kitalolo, Makukura, gongo na buzaa kwa upande wa Wamasai sijaona picha.

Kiburu, kitawa na kimantine kwa Wachagga nazo sijaona.

Yote kwa yote vyakula vya asili ni vizuri na vina afya.
Chagga nation[emoji23]kiburu a.k.a kiumbo, mtori, loshoro, ngararimu, ndizi za kuchoma na mbege
FB_IMG_16852016604739946.jpg
FB_IMG_16852016483734158.jpg
FB_IMG_16852015793166154.jpg
FB_IMG_16852016113647682.jpg
FB_IMG_16852016406592277.jpg
FB_IMG_16852014754686818.jpg
FB_IMG_16852014519666591.jpg
Screenshot_20230526-222358~2.jpg
FB_IMG_16852018283048230.jpg
FB_IMG_16852016771050869.jpg
FB_IMG_16852014353461041.jpg
FB_IMG_16851379610066836.jpg
Screenshot_20230524-033921~2.jpg
FB_IMG_16851330522339960.jpg
FB_IMG_16852014212972425.jpg
 
Tumeona vindege, mishkaki ya panya ila sijaona wale ndg zetu Wahehe na ile nyama yao ya asili.
 
Hakika hii nchi ina vyakula vingi vya asili, hivyo vindege ni biashara na watu wa Kondoa wanazipenda sana.. Ila ugali mweusi sijapata kula wala kushuhudia.
Vyakula vya asili ni vingi na vingine havijawahi kuappear kokote pale kwenye picha au maandishi hivyo ni rahisi kizazi kijacho kikakosha kujua au kupata kumbukumbu ya vyakula vyetu vya jadi, mfano ni chakula maarufu cha wakurya almaarufu KIMORO au kipande cha nyama ya mnyama pori kama nyumbu au swala kilichokaushwa juani hiki ukipikiwa na ugali pamoja na mlenda utamu wake pilau au nyama ya kuku unaiweka kando.
 
Back
Top Bottom