Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
wewe kiazi kweli...Watanzania wana flight yao pale Adisababa...inawachukuwa wao na wengine toka mataifa mbalimbali na kuja nao Dar kila siku...pia Wanaijeria etcHapa Kuna hadi Togo, Somalia, Uganda, Nigeria, Rwanda.. Yani kwa majirani wetu wote Tanzania pekee ndio hawapo... Nimeelewa kwa nini ATCL hubeba abiria wawili kutoka dar hadi Kampala.. Na abiria Hawa hukua Wananchi wa UgandaView attachment 1042850View attachment 1042851View attachment 1042852
Sent using Jamii Forums mobile app