Tanzanians Know More About Kenya while the vice versa is False

Tanzanians Know More About Kenya while the vice versa is False

Bila kutaja kabila, chuki ni against one tribe in Kenya mostly.

Shida yenu kubwa zaidi ni kwamba hadi watoto wenu wamejaa ukabila. Kuna watoto wa rafiki yangu Mkikuyu wa Kiambu wanachukia Wajaluo vibaya mno. Hii sumu mnaoipandikiza kwa watoto wenu haitawaacha salama mkiendelea nayo.
Mkiwa nje ya nchi yenu bado mnajenga urafiki kutokana na makabila yenu.
 
Hahahahahaa. Kwa ujuzi wangu Swahili nation inaanza southern somalia, kusema Kiswahili started in Tanzania ni kumisinform people. All I know the standardized Kiswahili ni lahaja ya KiUngunja. But lahaja ya kiMvitz ni important pia. Mkenya wa pwani ni mswahili zaidi kushinda mtu kutoka Tanzania bara
Kenya wapi na wapi na swahili invention? Nyie Hamna mchango wowote ndio mana hata lugha inawashindq
 
There is an irony here.yes Tz may say that kiswahili originated on their land....hatukatai hio.the question is what r u doing with it when all the world over just know that only Kenyans speaks kiswahili.80 % of international kiswahili translators r Kenyans,80% of international journalists of kiswahili are also Kenyans.is someone sleeping on the job here or should sm1 pull up his socks.this irony also present itself in Kenya where the originators of kiswahili perform dismally in kiswahili in KCSE than their counterparts wa bara who cannot even say a sentance in kiswahili without grammatical error. Big up to your musicians. I love the way they are selling out the culture out there.
 
hahahaha... hii thread waliianzisha wao wenyewe jana...leo wanaogopa hata kuja kukomenti.

wana kuja kwa kubia ibia maana nawacharaza bakora mpaka wanaishia kuchanganyikiwa.

nawawekea ushahidi wa screenshots kuonyesha ni namna wakenya wapo occupied sana na masuala yetu ya tz kuzidi hata sisi tuliyo occupied na masuala yao.
Kazi nzuri sana
Wakenya wengine kwa uwongo wanaongoza kila siku thread mpya ya kenya vs tz, nai vs dar halafu wanakwambia hawaifatilii tz duuuh.
 
Namba 8 na 6 hata sijawahi wasikia.Wakenya balaa wanafuatilia hadi watu wasiojulikana Bongo
wakenya ni hatari mkuu,mimi mwenyewe nimepigwa na mshangao,maana baadhi yao siwafahamu ila wao wanawafahamu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
When people are talking about impactive issues in the world you are talking of sex!! Nini mbaya na hawa wabongo??
you should forward your concern to the writer of the article and the owner of the blog which are both kenyans.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kweli hata mm sijui any about Tz. i only know about S.a and Egypt. maybe ni kwa sababu Tz wako nyuma sana.

Kenyans asking about the availability of diamond platnumz's perfume in kenya.
[emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23]
2c070d678da2d3ce3178107add810903.jpg


meanwhile,one of diamond platnumz song,holds number 3 position in one of kenyan music chart.
[emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23]

NB:Mimi huo wimbo diamond uitwao Salome hata sijui,lakini wakenya wanaujua ..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
unajua lazma iwe hivo kwasababu wakenya wengi leo wameshikwa na wasiwasi kuona maendeleo yalivopiga hatua tanzania within short period of time, ndio maana leo wanatumia jicho la tatu kuiangalia sana tanzania na sio east africa tu leo tanzania inaongelewa duniani kote na magufuli kashakua famous, ukija kwenye mambo ya music ndo kabisaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀
 
chenye waTz wako famous nayo ni Urogi. hautawai skia mTz ameshinda Oscar ama mbio zozote au amekuwa elected kwa any elective post outside his country but utakuta wametundika vibao kwenye post za stima all over East Africa ati Mganga kutoka Tanga mara Pemba.. bullcrap
 
chenye waTz wako famous nayo ni Urogi. hautawai skia mTz ameshinda Oscar ama mbio zozote au amekuwa elected kwa any elective post outside his country but utakuta wametundika vibao kwenye post za stima all over East Africa ati Mganga kutoka Tanga mara Pemba.. bullcrap

 
chenye waTz wako famous nayo ni Urogi. hautawai skia mTz ameshinda Oscar ama mbio zozote au amekuwa elected kwa any elective post outside his country but utakuta wametundika vibao kwenye post za stima all over East Africa ati Mganga kutoka Tanga mara Pemba.. bullcrap
Hivi huko kwenu hakuna shule inayofundisha historia?? Maana hapa umetuonyesha vile haujuwi chochote kuhusu Tanzania. Kuna Mkenya ameshawahi kushika the most highest post any African have ever hold in UN, or OAU/AU.???? Tanzania wamesha shika hizo post.
 
Hivi huko kwenu hakuna shule inayofundisha historia?? Maana hapa umetuonyesha vile haujuwi chochote kuhusu Tanzania. Kuna Mkenya ameshawahi kushika the most highest post any African have ever hold in UN, or OAU/AU.???? Tanzania wamesha shika hizo post.
Read through the lines. Wacha aibu ndogo ndogo. I said "elected on any elective post" was JK elected? go back to your history.
 
The only politician i know in TZ currently is magufuli. Who is Tanzania's vice president by the way? Na me huskia zanzibar ety pia wakona president wao.
What is special in Kenya, by the way?, am not even inspired to visit there!
 
Hivi huko kwenu hakuna shule inayofundisha historia?? Maana hapa umetuonyesha vile haujuwi chochote kuhusu Tanzania. Kuna Mkenya ameshawahi kushika the most highest post any African have ever hold in UN, or OAU/AU.???? Tanzania wamesha shika hizo post.
Yani, you've no clue what Tanzania is all about, and this thread is specific for people like you. Was Salim Ahmed Salim appointed to OAU Seceraty-General or elected??? He was the one who made the transition from OAU to AU. Who is SG of SADC today??? Did Tanzania not produce DEPUTY UN-SG under Ban Ki Moon?? Mnakuwaga na ujinga usio kuwa na mfano.
 
Yeah. Back off. We don't know you and we're not interested.
 
Back
Top Bottom