Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaahahahaha kweli bro nimethibitisha iyoUnaongea kinyume bwana mdogo. Wakenya ndio mnajipendekeza kwa Tanzania na kufuatilia mambo ya Tanzania. Angalia magazeti yenu yanavyoandika kuhusu Magufuli kila siku, hakuna gazeti likaandika mambo ya Uhuru Tanzania. Jambo lolote akisema Magufuli lazima magazeti yenu yaandike.
Ukienda mitandaoni, Wakenya wengi wanachangia maoni kwenye youtube channels za Tanzania kuliko Watanzania wenyewe. Angalia video za nyimbo za Tanzania youtube lazima utakuta register ya +254, huwezi kukuta Watanzania wanachangia kwenye youtube channels zenu wala video za nyimbo zenu.
In fact niliuliza huyu mjamaa atupe some kind of window vile an average kenyan dude with a internet enabled phone can give us an insight into TZ. Top ten ya kila kitu. In fact niliangalia twitter leo na TZ haina hata trends so you cant even know what's going on there. Info is still passed orally and from baba to mtoto. Yeye hapa full na ulaji bata. The apple never falls far from the tree.When people are talking about impactive issues in the world you are talking of sex!! Nini mbaya na hawa wabongo??
In fact niliuliza huyu mjamaa atupe some kind of window vile an average kenyan dude with a internet enabled phone can give us an insight into TZ. Top ten ya kila kitu. In fact niliangalia twitter leo na TZ haina hata trends so you cant even know what's going on there. Info is still passed orally and from baba to mtoto. Yeye hapa full na ulaji bata. The apple never falls far from the tree.
Yaani we jamaa kutwa uko jamii forum na unajua kila kitu cha TZ infact Wakenya mnajidanganya sana eti TZ wanafuatilia habari za Kenya. Hizo Tv zenu hakuna anazozijua zaidi ukiangalia unakuta wanapiga nyimbo za TZ tena wanamuziki wenyewe hata huku hawajulikani.we wacha upuzi...ni nani anafatilia wanamuziki wa tz??
Namba 8 na 6 hata sijawahi wasikia.Wakenya balaa wanafuatilia hadi watu wasiojulikana Bongokenyan men and their stupid obsession over our beautiful tanzania ladies.
this article was written by kenyan and published on blog owned by kenyan.
NB:sometimes in 2016,wema sepetu was the most searched celebrity in kenya than kim kardashian of USA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukigoogle search Kenyan forums utapewa link ya JF, Kenyan sectionTell us, which network are you using to post your rubbish? Is it of kenya origin?
Mnachekesha kweli. Mi sijui social network ya kenya hata moja lkm nyie wakenya mnazijua nyingi za tz kuanzia JF, Mwanahalisi Forums, nk
Kwa hiyo ni ya wakenya enhee?Ukigoogle search Kenyan forums utapewa link ya JF, Kenyan section
Tell us, which network are you using to post your rubbish? Is it of kenya origin?
Mnachekesha kweli. Mi sijui social network ya kenya hata moja lkm nyie wakenya mnazijua nyingi za tz kuanzia JF, Mwanahalisi Forums, nk
So whats interesting in Tanzania for us to crane our nake in their directionKenyans know less about Tanzania...
Tanzanians watch kenyan TV news and online news..Kenyans don't do so to Tanzanians
They look up to us mankweli hata mm sijui any about Tz. i only know about S.a and Egypt. maybe ni kwa sababu Tz wako nyuma sana.