Tanzanians Know More About Kenya while the vice versa is False

Tanzanians Know More About Kenya while the vice versa is False

Tanzania ina influence kubwa katika EAC wasipotutambua raia wa kenya viongozi wao hawalali kutuchunguza.

Yeyote na kutoka popote akitaka kuiharibu ama kuijenga EAC ataanza na Tanzania.
 
Tanzania ina influence kubwa katika EAC wasipotutambua raia wa kenya viongozi wao hawalali kutuchunguza.

Yeyote na kutoka popote akitaka kuiharibu ama kuijenga EAC ataanza na Tanzania.
wewe ata haujielewi. Tanzania yenyewe ua hata haijielewi wala haijitambui ka iko EAC ama SADC. kwanza Tz ndio chanzo kikuu kwa EAC kusambaratika. na bado muko nyuma
 
Hahaha Kenyans bwanaa
Sasa lugha yetu tu yenyewe mnaijua japo kwa taabu na mmeifanya official.

Kiswahili is our language and we invented it but now all Africa talking through

Tanzania we are founders and influencers
 
this is what i here everytime i listen to bongo music
CrsZ00_VIAEcR_x.jpg
For the fact now you are grown I probably know the diameters of some objects you are using to inject inside your anus are no longer the same as that of earphones.
 
wewe ata haujielewi. Tanzania yenyewe ua hata haijielewi wala haijitambui ka iko EAC ama SADC. kwanza Tz ndio chanzo kikuu kwa EAC kusambaratika. na bado muko nyuma

Pumbavu zako, Tanzania ndio iliyotoa wazo la kuanzisha Jumuiya ya Afrika Mashariki. Nyie ondoeni ubaguzi miongoni mwenu ndio muanze kuongea.
 
Pumbavu zako, Tanzania ndio iliyotoa wazo la kuanzisha Jumuiya ya Afrika Mashariki. Nyie ondoeni ubaguzi miongoni mwenu ndio muanze kuongea.
Waambie hao mkuu labda wasome historia kwanza ndio watajua.
 
Ninachojua Tanzania ni mtu anaitwa ********.the President who can fire a secretary.natambua kuwa Tz inaproduce waganga wapoa,sijui hao huenda shule gani ya uganga.na kuwa Albinos are endangered huko.
 
Hao wanamuziki ni Watanzania na nyie mnawafuatilia kuliko mnavyofuatilia wanamuziki wenu.
awe worldwide kenya wasimjue?? umetumia nin kuandika?? ttzo la wakenya ukabila unawatesa na imekua laana kwenu plus mikono ya sweta
 
awe worldwide kenya wasimjue?? umetumia nin kuandika?? ttzo la wakenya ukabila unawatesa na imekua laana kwenu plus mikono ya sweta

Mzee umekosea njia ama? Mimi nilikuwa namkosoa Mkenya hapo. Nashukuru Mungu aliniepusha na laana ya kuwa Mkenya.
 
@ Allan David.I will tell you that ukabila ya Kenya is overrated. Did you see how The president was welcomed in Kisumu on Saturday? Imagine that all businesses stood still.we are killing the tribalism with intermarriage. I am glad that an average Kenyan citizen is mature than yesterday.Politician onsite us yet they are friends calling each other at night.subirini vita Kenya hamtaona.all those towns in Kenya are now becoming metropolis occupied by all tribe.or you think there are no Kikuyu's living in kisumu and no luos in nyeri?!I pitty u.
 
Hahaha Kenyans bwanaa
Sasa lugha yetu tu yenyewe mnaijua japo kwa taabu na mmeifanya official.

Kiswahili is our language and we invented it but now all Africa talking through

Tanzania we are founders and influencers
You did what? How ignorant can you be? Hamkuinvent Kiswahili kaka, na Kenya has made Kiswahili international, not you guys.
 
@ Allan David.I will tell you that ukabila ya Kenya is overrated. Did you see how The president was welcomed in Kisumu on Saturday? Imagine that all businesses stood still.we are killing the tribalism with intermarriage. I am glad that an average Kenyan citizen is mature than yesterday.Politician onsite us yet they are friends calling each other at night.subirini vita Kenya hamtaona.all those towns in Kenya are now becoming metropolis occupied by all tribe.or you think there are no Kikuyu's living in kisumu and no luos in nyeri?!I pitty u.
Wanafuata what they listen on the news. They think Kenya is filled with hate, every tribe hates one another.
 
You did what? How ignorant can you be? Hamkuinvent Kiswahili kaka, na Kenya has made Kiswahili international, not you guys.
Achaga kujisifia ujinga basi, kwaio kiswahili kiligunduliwa Kenya?
 
You did what? How ignorant can you be? Hamkuinvent Kiswahili kaka, na Kenya has made Kiswahili international, not you guys.
Acha sifa ndio maana miss natafuta alisema hamchambi nyie
 
Wanafuata what they listen on the news. They think Kenya is filled with hate, every tribe hates one another.

Mnachukiana wala hatuhitaji kuambiwa na vyombo vya habari, tumeishi na bado tunaendelea kuishi na nyie na tunajionea kwa macho yetu.
 
Mnachukiana wala hatuhitaji kuambiwa na vyombo vya habari, tumeishi na bado tunaendelea kuishi na nyie na tunajionea kwa macho yetu.
Bila kutaja kabila, chuki ni against one tribe in Kenya mostly.
 
Of course, how dare you don't know this.
Hahahahahaa. Kwa ujuzi wangu Swahili nation inaanza southern somalia, kusema Kiswahili started in Tanzania ni kumisinform people. All I know the standardized Kiswahili ni lahaja ya KiUngunja. But lahaja ya kiMvitz ni important pia. Mkenya wa pwani ni mswahili zaidi kushinda mtu kutoka Tanzania bara
 
Back
Top Bottom