Tanzanians Know More About Kenya while the vice versa is False

Tanzanians Know More About Kenya while the vice versa is False

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
80b29125f475af78ec06c526794d884e.jpg
977fdbb2449f013b159ea960b8575602.jpg
Endelea kumshushia mawe maana kama ulivyosema "Hajafanya utafiti"
 
Sure, even me I know a lot of things In Kenya, like.
In every 10 Kenyans, 8 are potential thieves.

Pia nafahamu baada ya kimbembe cha Kunguni kwa miaka kadha wa kadha, hivi sasa Wakenya milioni Mbili wameathirika na funza.
Two million Kenyans in 24 counties affected by jiggers, says First Lady


Nafahamu mambo mengi sana ya Kenya,
Nafahamu kuwa Tanzania ndio nchi pekee inayolisha Kenya, hata mleta mada amekula msosi toka Tz halafu anazuga hatujui eti, (humjui anaekulisha? Inawezekana kweli?)
Naifahamu Kenya kama ni nchi pekee duniani ya kipato cha Kati (Middle income )/ambayo mamia ya maelfu ya wananchi wanaangamia kwa baa la njaa.

Hundreds of thousands face hunger in Kenya | Africa | DW.COM | 21.06.2016
 
Naifahamu Nairobi Vilivyo,.

Ukistaajabu ya Bashite, uyayaona ya Nairobi.

Nairobi ni mji pekee wenye SLUMS kubwa zaidi Africa na Dunia kwa ujumla.
Mathate yenye wakazi 500000
Ma Kibera yenye wakazi 2.5million

Kumbuka Nairobi ina wakazi 3.5 million.
Kwaiyo hapo wanaoishi kibera na Mathare pekee ni milioni 3

Hao 500000 wanaobaki ndio wanaishi kwenye mitaa mingine ya Nai.
Halafu hapo kumbuka Kuna Slums nyingine kama Huruma. kariobangi n.k.

The 20 Worst Slums in Africa
 
Kenyans have small Random access Memory to keep speculating about EA issues. In Tanzania they know only Magufuli and Diamond, in Uganda they know only Chameleon, in Rwanda They know only Lua Lua. Congrats you guys.
 
Kenyans have small Random access Memory to keep speculating about EA issues. In Tanzania they know only Magufuli and Diamond, in Uganda they know only Chameleon, in Rwanda They know only Lua Lua. Congrats you guys.
We know Uganda more..
 
To be honest I didn't know anything about kenya jamii forum imenisaidia sana kuijua na kupata maadui na marafiki wachache wa kikenya mtandaoni.
 
Kenyans have small Random access Memory to keep speculating about EA issues. In Tanzania they know only Magufuli and Diamond, in Uganda they know only Chameleon, in Rwanda They know only Lua Lua. Congrats you guys.

We know Uganda more..

Even whites think Kilimanjaro is in Kenya....Tanzania is little known
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
f5e1de7c0edc92e893d172134d1cdc1c.jpg
 
Kenya ni nafisi hawana jipya wamejazana kwetu kwao kugumu fyuuuuuu tunakaribia kuwafurusha kama. South
 
Back
Top Bottom