Tanzanians Show us your Estates

asante maana nilitaka POST shida MOJA ambayo ingewabidi waje BONGO waitafute iko wapi shenzi type hao.
 
Lkn kwa nini uko proud kuishi kwenye gated community??? Kwa kawaida ni jambo la kusikitisha sana, ndo maana nashangaa!
Tafuta ukuta uiongeleshe juu ujinga yako siwezani nayo
 
Hiyo sasa ni sauti ya Mdanganyika wakati amefinywa kabisa.Tulishazoea hiyo.Mtuonyeshe Tandale na Mwananyamala kwa Kopa
Hakuna sababu ya kubishana kwenye nyumba. Inafahamika Watanzania wanamiliki nyumba kwa sababu wanamiliki ardhi lakini kenya ni matajiri tu ndio wenye ardhi na hivyo wengi wao ni wapangaji
 
Hakuna sababu ya kubishana kwenye nyumba. Inafahamika Watanzania wanamiliki nyumba kwa sababu wanamiliki ardhi lakini kenya ni matajiri tu ndio wenye ardhi na hivyo wengi wao ni wapangaji

Tihahahhaaaaa. Allow me to laugh at your ignorance
 
Mna ardhi
Ardhi yote anamiliki mtu Mmoja

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…