Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Collingham Gardens, Karen.
1110766
1110767
 
Watanzania tufanyeni kazi, maswala ya kuingia google na fb kutafuta nyumba nzuri ili tuwaonyeshe awa wakenya na sisi tupo vizuri ni ujinga....


Tufanye kazi tukawasaidie wakenya wanaokufa na njaa, sisi nchi yetu imebarikiwa na hilo tunalijuwa na hakuna haja ya kuwaonyesha wakenya kama tupo vizuri... Waacheni watapetape
asante maana nilitaka POST shida MOJA ambayo ingewabidi waje BONGO waitafute iko wapi shenzi type hao.
 
Lkn kwa nini uko proud kuishi kwenye gated community??? Kwa kawaida ni jambo la kusikitisha sana, ndo maana nashangaa!
Tafuta ukuta uiongeleshe juu ujinga yako siwezani nayo
 
Hiyo sasa ni sauti ya Mdanganyika wakati amefinywa kabisa.Tulishazoea hiyo.Mtuonyeshe Tandale na Mwananyamala kwa Kopa
Hakuna sababu ya kubishana kwenye nyumba. Inafahamika Watanzania wanamiliki nyumba kwa sababu wanamiliki ardhi lakini kenya ni matajiri tu ndio wenye ardhi na hivyo wengi wao ni wapangaji
 
Hakuna sababu ya kubishana kwenye nyumba. Inafahamika Watanzania wanamiliki nyumba kwa sababu wanamiliki ardhi lakini kenya ni matajiri tu ndio wenye ardhi na hivyo wengi wao ni wapangaji

Tihahahhaaaaa. Allow me to laugh at your ignorance
 
Hiyo kweli, mpo ovyo sana, nyumba zimetapakaa bila mpango wowote, kwa Kenya tumewekeza sana kwenye mpangilio wa nyumba, kwa mfano hapa ninakoishi ipo sheria baina yetu aina ya nyumba zinazofaa kujengwa na pia hairuhusiwi kujenga nyumba zaidi ya orofa moja.
Mna ardhi
Ardhi yote anamiliki mtu Mmoja

Ova
 
Back
Top Bottom