Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Tukuonyeshe ili ugundue nini mtoa mada????
Hatari sana Wakenya wako rafu sanaSijui mdanganyika ni nani lakini hii ni moja ya documentaries zilizo nyingi.
Kenya mmezidi wiziWizi ata Dar iko wacha kuongea kama mjinga
Na kutafuna Albino...Duuh.mmeiweza.CannibalsKenya mmezidi wizi
Si mtapata ulcers mkufe tuuMadhara ya GDP ya kupika. Mapishi kila mahali mtaua wenzenu kwa pressure bure.View attachment 1112298
Housing and Property Market in a free fall. - Nairobi Business Monthly
A few days ago, the Kenya Bankers Association, released the latest House Price Index (HPI) of the 1st Q of 2019. This report marks clearly the declining trend that the housing market has been experiencing over the last two years in the most incontrovertible and uncontested way, a negative growth...www.nairobibusinessmonthly.com
Si mtapata ulcers mkufe tuu
Nyumba za wahindi na wazungu ndio tunaringia. Negros. Macom X aliwasema watu Kama nyieHili la nyumba acha tu maana utawatesa sana hawa, yaani ile kwamba watu wao wa uchumi wa kiwango cha kati ni wachache sana hivyo uwekezaji kwenye nyumba nzuri nzuri ni mdogo sana.
He hee mnasemaji na ujinga huuSijui mdanganyika ni nani lakini hii ni moja ya documentaries zilizo nyingi.
picha za 3D hizo msitufanye mazuzuHutulia maeneo kama haya View attachment 1110792View attachment 1110794View attachment 1110795View attachment 1110796View attachment 1110797
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Izo ni 3D?we jamaa unaugua nenda hosppicha za 3D hizo msitufanye mazuzu
Toa akili uchwara hapa, kwani kuvaa boxer ni black Tanzania idea?Mlichokifanya ni kuendeleza tu apartheid, sasa hivi weusi matajiri wamechukuwa nafasi ya Muzungu, baada ya Muzungu kuhama estates.
Lkn estates Nairobi siyo black Kenya idea!