Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Madhara ya GDP ya kupika. Mapishi kila mahali mtaua wenzenu kwa pressure bure.
IMG_4094.JPG


 
Madhara ya GDP ya kupika. Mapishi kila mahali mtaua wenzenu kwa pressure bure.View attachment 1112298

Si mtapata ulcers mkufe tuu
 
Si mtapata ulcers mkufe tuu

Hapo big investors wa Kenya housing sector wanawapiga bao unsuspecting new small investors in housing investment. Nyerere alisema kweli man eating man society 🤣🤣🤣
 
Wakenya wanagombania pombe katika gari lililopata ajali ni aibu, hawa jamaa kila sehemu wapo ni walevi sana hawa majirani zetu


 
Hili la nyumba acha tu maana utawatesa sana hawa, yaani ile kwamba watu wao wa uchumi wa kiwango cha kati ni wachache sana hivyo uwekezaji kwenye nyumba nzuri nzuri ni mdogo sana.
Nyumba za wahindi na wazungu ndio tunaringia. Negros. Macom X aliwasema watu Kama nyie
 
Hebu tafuta Fumba uptown uone nyumba, sio hivyo vibanda vya kufugia broilers.
 
Mlichokifanya ni kuendeleza tu apartheid, sasa hivi weusi matajiri wamechukuwa nafasi ya Muzungu, baada ya Muzungu kuhama estates.

Lkn estates Nairobi siyo black Kenya idea!
Toa akili uchwara hapa, kwani kuvaa boxer ni black Tanzania idea?
 
Back
Top Bottom