Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Wee gari unalo.Au unashabikia waliyonayo.
Awamu ya magufuli watu wananunua magar km pipi kijana we.hujui tu
siko hapa kujigamba na vitu ninazo au kujisikitikia zile sina. That's my private life it it will remain so. Cha muhimu ni kwamba I have proven my point ila Wewe umebaki ukipiga tu domo. You can't prove anything you say
 
Unaugua ww .
Tz madaktar wameongezewa mshahara na kuna posho wanazipata za siku ama week na hawacheleweshewi mshahara ikifika tarehe 25 wanachukua mishahara yao.
Ila tofaut ya tz na kenya ni kuwa hela yenu ina thaman kubwa kushinda yetu.
Lakn swali km wanalipwa vzury kwann wagome.
Maana mtu ukimpa kitu inavyostahili hawez kugoma.
Mfano mwaka 2013 madaktar na walimu waligoma kwasababu ya udogo wa mishahara huku tz.
Ila alivyoingia magufuli mishahara ikasawazishwa medical doctor akilipwa milion 1.5 clinical officer 950,000 na kuna posho za kuhudumia watu wa clinic na bima za afya kwahyo madaktar hawagomi tz.
Na kwa walimu wameongezewa kiasi flan mshahara huku tz ndio maana now hawagomi na kudhaminiwa usafir bure.
Asa km madaktar wenu wnalipwa vema kwann wagome.
Inaelekea wewe hujui kujibu maana bado hujanipa fact ya msingi.
Nijibu km msomi sio kwa kubwabwaja km hv
Huenda ikawa halipwi vile inastahili, but what I know is that kila mwisho wa mwezi, wanapokea mishahara mizuri kuliko madakitari Watanzania. Huo ndio ukweli. And anything you say here won't change that fact. Kojoa ulale
 
Umeprove kivp.
Kwa kutoa takwimu za zaman kuzileta sasa.
Asee we umeenda shule kweli
siko hapa kujigamba na vitu ninazo au kujisikitikia zile sina. That's my private life it it will remain so. Cha muhimu ni kwamba I have proven my point ila Wewe umebaki ukipiga tu domo. You can't prove anything you say
 
Dah,"but what u know is that."
That is what about you know which are ur assumptions.
But not reality which Kenyan doctors are facing.
Kam sis tulivyodanganywa kuhusu korosho tukawa tukisema hvyo hvyo but what we know ila sio reality which the small scale farmers are facing.
Tumia akili
Huenda ikawa halipwi vile inastahili, but what I know is that kila mwisho wa mwezi, wanapokea mishahara mizuri kuliko madakitari Watanzania. Huo ndio ukweli. And anything you say here won't change that fact. Kojoa ulale
 
Unaugua ww .
Tz madaktar wameongezewa mshahara na kuna posho wanazipata za siku ama week na hawacheleweshewi mshahara ikifika tarehe 25 wanachukua mishahara yao.
Ila tofaut ya tz na kenya ni kuwa hela yenu ina thaman kubwa kushinda yetu.
Lakn swali km wanalipwa vzury kwann wagome.
Maana mtu ukimpa kitu inavyostahili hawez kugoma.
Mfano mwaka 2013 madaktar na walimu waligoma kwasababu ya udogo wa mishahara huku tz.
Ila alivyoingia magufuli mishahara ikasawazishwa medical doctor akilipwa milion 1.5 clinical officer 9,500,000 na kuna posho za kuhudumia watu wa clinic na bima za afya kwahyo madaktar hawagomi tz.
Na kwa walimu wameongezewa kiasi flan mshahara huku tz ndio maana now hawagomi na kudhaminiwa usafir bure.
Asa km madaktar wenu wnalipwa vema kwann wagome.
Inaelekea wewe hujui kujibu maana bado hujanipa fact ya msingi.
Nijibu km msomi sio kwa kubwabwaja km hv
Nigga don't take me for a fool. so in Tanzania clinical officers are paid more than trained doctors??? Yani clinical officer ambaye anafuata maagizo ya daktari apokee mshahara wa juu kuliko daktari?? Maajabu musa!! But this just takes me back to my point: you can't prove anything you say and most of the time, you even have very limited information, if any, about most of the things you say here, a good example being that of clinical officers you highlited above. You are ready to type a whole page kuhusu vitu umetoa akilini but you can't put a simple link from a reliable source to prove that everything you say is true
 
Umeprove kivp.
Kwa kutoa takwimu za zaman kuzileta sasa.
Asee we umeenda shule kweli
You could have done better by bringing recent data to counter my argument instead of objecting everything I say. That's the way to have a debate. I may not have gone to school but I know I am intelligent than you are. That one I know for sure
 
Dah,"but what u know is that."
That is what about you know which are ur assumptions.
But not reality which Kenyan doctors are facing.
Kam sis tulivyodanganywa kuhusu korosho tukawa tukisema hvyo hvyo but what we know ila sio reality which the small scale farmers are facing.
Tumia akili
Mambo ya korosho yanatokea wapi kuhusu hii Mada ya madakitari? Ama huko bongolala madakitari hula korosho wakitibu wagonjwa
 
Nigga don't take me for a fool. so in Tanzania clinical officers are paid more than trained doctors??? Yani clinical officer ambaye anafuata maagizo ya daktari apokee mshahara wa juu kuliko daktari?? Maajabu musa!! But this just takes me back to my point: you can't prove anything you say and most of the time, you even have very limited information, if any, about most of the things you say here, a good example being that of clinical officers you highlited above. You are ready to type a whole page kuhusu vitu umetoa akilini but you can't put a simple link from a reliable source to prove that everything you say is true
Matako ww laki tisa na nusu mshahara wa clinical officer million moja na nusu mshahara wa medical doctor.
Nimeamin hujui kusoma ht tarakimu huzijui vzur embu tazama vema hapo.
Clinical officer 950,000, medical doctor 1,500,000 soma vzur usikurupuke
 
Nigga don't take me for a fool. so in Tanzania clinical officers are paid more than trained doctors??? Yani clinical officer ambaye anafuata maagizo ya daktari apokee mshahara wa juu kuliko daktari?? Maajabu musa!! But this just takes me back to my point: you can't prove anything you say and most of the time, you even have very limited information, if any, about most of the things you say here, a good example being that of clinical officers you highlited above. You are ready to type a whole page kuhusu vitu umetoa akilini but you can't put a simple link from a reliable source to prove that everything you say is true
Kivp iwe uongo ama hutazam habar.
Kitu kingine mm hapa nina hyo diploma ya clinical medicine nilifanya kaz 4 months na nikaacha na kufungua pharmacy.
Bcuz sipend kutumikishwa naitafuta degree now sawa mmama na nilikua nikilipwa hela hyo laki tisa na nusu usiwe mbishi
 
Mambo ya korosho yanatokea wapi kuhusu hii Mada ya madakitari? Ama huko bongolala madakitari hula korosho wakitibu wagonjwa
Hata hukuelewa nilichokiandika huo ni mfano nataka jibu sahihi kivp madaktar wenu wanagoma km wanalipwa vzur
 
You could have done better by bringing recent data to counter my argument instead of objecting everything I say. That's the way to have a debate. I may not have gone to school but I know I am intelligent than you are. That one I know for sure
Ahahhahaah can't compare me with u makhtuum kabiiir am different from you
 
Clinical officer ni 950,000 nimekosea tarakimu sorry
Nigga don't take me for a fool. so in Tanzania clinical officers are paid more than trained doctors??? Yani clinical officer ambaye anafuata maagizo ya daktari apokee mshahara wa juu kuliko daktari?? Maajabu musa!! But this just takes me back to my point: you can't prove anything you say and most of the time, you even have very limited information, if any, about most of the things you say here, a good example being that of clinical officers you highlited above. You are ready to type a whole page kuhusu vitu umetoa akilini but you can't put a simple link from a reliable source to prove that everything you say is true
 
Kivp iwe uongo ama hutazam habar.
Kitu kingine mm hapa nina hyo diploma ya clinical medicine nilifanya kaz 4 months na nikaacha na kufungua pharmacy.
Bcuz sipend kutumikishwa naitafuta degree now sawa mmama na nilikua nikilipwa hela hyo laki tisa na nusu usiwe mbishi
Empty debts make the most noise,that's all I can tell you. A degree holder who can't differentiate between 9.5 million and 950k! Anyway naelewa, mko na mfumo bogus ya elimu
 
Empty debts make the most noise,that's all I can tell you. A degree holder who can't differentiate between 9.5 million and 950k! Anyway naelewa, mko na mfumo bogus ya elimu
Nishawazoea nyie wabwatukaji nataka unijibu swali langu
 
Watanzania tufanyeni kazi, maswala ya kuingia google na fb kutafuta nyumba nzuri ili tuwaonyeshe awa wakenya na sisi tupo vizuri ni ujinga....


Tufanye kazi tukawasaidie wakenya wanaokufa na njaa, sisi nchi yetu imebarikiwa na hilo tunalijuwa na hakuna haja ya kuwaonyesha wakenya kama tupo vizuri... Waacheni watapetape
Wakenya njaa sana halafu wana wivu sana na Tanzania
 
Acha ushabiki za kijinga. Kila mweza Watanzania hununua takriban magari 4500 wakati Nairobi pekee the The National Transport and Safety Authority registers 7,000 vehicles monthly. Hiyo ni ya Nairobi pekee yake. Yani kiufupi ni kwamba idadi ya magari inayonunuliwa Nairobi Kwa mwezi pekee ni Mara mbili ya idadi ya magari hununua Tanzania nzima kwa mwezi. Saa zingine ni vizuri kufanya utafiti kidogo Kabla ya kutangazia dunia nzima ulivo mjinga
View attachment 1118538View attachment 1118539
Sasa kwann taarifa ya TZ ni ya 2014 wakati ya Kenya ni 2016? Maana navyofaham mm mwaka mmoja unabadili mengi tu
 
Stop being a lier bro. Kazi gani Kenya inalipa 1k iliyo ndogo. Wakenya msingekuwa mnakimbilia TZ kufundisha shule za English Medium kwa mishahara ya 300,000 TZS. Huo uzwazwa. Mimi siwezi kwenda Kenya nikafanya kazi ya 1million TZS.

Kenya kuna tabala la watu wachache sana wenye hela. Mtu anashindia githeri kwenye slums eti amiliki gari...loh. Rent ni 3000 hii hapa Tz ni zaidi ya elfu 60 napata chumba en suite modern kabisa maeneo potential ya mji. Kenya maisha ni magumu honestly. Jamaa alikuja kwangu Kibada nikamwambia hapa nalipa 300,000 TZS rent akashangaa. Anasema nyumba kama ile kenya ni 1mil TZS rent yake per month. Kenya maisha ni magumu.Uzuri wa Tz unaweza kuearn kidogo na ukaishi standard life. The case is different with Kenya.

Eti Kenya imejaa magari. Unachekesha wewe. Kenya kumiliki gari is very expensive....very expensive. Been to Nairobi several times na yule Mkenya rafiki yangu na ni manager pale Equity makao makuu anasema kila mara huku TZ gari mpya huuzwa cheap kuliko Ke.

Don't fool yourself. Wakenya mna shida.
 
You can't argue with me coz you don't have facts and can't prove anything you say. jitahidi ununue gari, huku kwetu Kenya zimejaa
Mmejaza mikebe probox vitz na passo mnasema na nyie mnanunua magari?
Do you kwamba mnauchumi wa mandazi tu lakin mnapiga nao mayowe kila mahali...
Magari hapa mjn Dar Ni yakutosha sana tu hadi periurban roads ziko busy
tapatalk_1557771459792.jpeg
 
Sasa kwann taarifa ya TZ ni ya 2014 wakati ya Kenya ni 2016? Maana navyofaham mm mwaka mmoja unabadili mengi tu
Do you expect a miracle to happen within five years if it hasn't happened in 50 years since you gained independence? Na aliewazuia kuweka figures za 2019 ni nani? Bado mko nyuma sana kubalini yaishe
 
Back
Top Bottom