Tanzanians, show us your roads

Tanzanians, show us your roads

Kimara Ubungo
IMG_20190513_190642.JPG
 
NDINDA nilikuwa nasubiri uje kuwanyoosha hawa na hujaniangusha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo naona ring roads, flyovers na Thika highway hazijafua dafu. Asee huu mnyoosho sijawahi ona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kenya ukiangalia ni kama southern belt tu na miji yote mikubwa imefungamana yaani mombasa, nakuru, kisumu, eldoret na Nairobi. Ukija bongo ni Dar, mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga,Dodoma, Moro yaani miji imesambaa na inahitaji investment ya kweli kweli. Ila Ndinda haendi mbinguni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo naona ring roads, flyovers na Thika highway hazijafua dafu. Asee huu mnyoosho sijawahi ona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kenya ukiangalia ni kama southern belt tu na miji yote mikubwa imefungamana yaani mombasa, nakuru, kisumu, eldoret na Nairobi. Ukija bongo ni Dar, mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga,Dodoma, Moro yaani miji imesambaa na inahitaji investment ya kweli kweli. Ila Ndinda haendi mbinguni
Hawana jipya zaidi ya Thika highway
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo naona ring roads, flyovers na Thika highway hazijafua dafu. Asee huu mnyoosho sijawahi ona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kenya ukiangalia ni kama southern belt tu na miji yote mikubwa imefungamana yaani mombasa, nakuru, kisumu, eldoret na Nairobi. Ukija bongo ni Dar, mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga,Dodoma, Moro yaani miji imesambaa na inahitaji investment ya kweli kweli. Ila Ndinda haendi mbinguni
Kweli hapo NDINDA kwa mwendo huu hafiki mbinguni😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom