Watu wengine hua mnawaza kutombwa muda wote,nenda kwenye page zenu za mapenziThanks my lady
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NDINDA nilikuwa nasubiri uje kuwanyoosha hawa na hujaniangusha!
Watu wengine hua mnawaza kutombwa muda wote,nenda kwenye page zenu za mapenzi
One of the best roads in the country.. Hii barabara nimeendesha kuanzia pale Bunda mpaka Rorya sijaona shimo wala kiraka..Mara Region
Hawana jipya zaidi ya Thika highway[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo naona ring roads, flyovers na Thika highway hazijafua dafu. Asee huu mnyoosho sijawahi ona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya ukiangalia ni kama southern belt tu na miji yote mikubwa imefungamana yaani mombasa, nakuru, kisumu, eldoret na Nairobi. Ukija bongo ni Dar, mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga,Dodoma, Moro yaani miji imesambaa na inahitaji investment ya kweli kweli. Ila Ndinda haendi mbinguni
This is one of the best roads, nilikuwa napiga Volvo S60 T6 hapo mpaka najisahau sema matuta ni mengi...
Mkuu unaharibuKimara Ubungo
View attachment 1096479
Ha haaaMkuu unaharibu
Kweli hapo NDINDA kwa mwendo huu hafiki mbinguni😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo naona ring roads, flyovers na Thika highway hazijafua dafu. Asee huu mnyoosho sijawahi ona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya ukiangalia ni kama southern belt tu na miji yote mikubwa imefungamana yaani mombasa, nakuru, kisumu, eldoret na Nairobi. Ukija bongo ni Dar, mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga,Dodoma, Moro yaani miji imesambaa na inahitaji investment ya kweli kweli. Ila Ndinda haendi mbinguni