Hyo barabara ni mpya acha miyeyusho naanza kupata waswas ulitumia usafiri gani, kabila lisikusumbue sanaNadanganya watu vipi? Hio stretch yote kutoka Moshi hadi chalinze sio yenye hadhi ,Kwanza barabara imezeeka inahitaji ukarabati . kwanza jibu swali.
View attachment 1097879
View attachment 1097880
View attachment 1097883
Tusha implement siku nyingi sisi hiyo express projects zako
Mbona zetu za vijijini zina markings?Ushaambiwa ni kijijini mashambani
Barabara zenu ni za standard ya chini Sana hata kule upande wa horohoro hadi tanga .kama hujui kabila linaloishi korogwe unasema hujui nitakwelewa sio eti lisinisumbue.Hyo barabara ni mpya acha miyeyusho naanza kupata waswas ulitumia usafiri gani, kabila lisikusumbue sana
Hamna kitu hapa ni just overpass hiyo. Round about ingefanya kazi sawa na hio kitu iliojengwa hapo.Joto LA jiwe ulitaka interchange, this is known as Njoro interchange. 300km from NairobiView attachment 1097446View attachment 1097449
NimekubaliHii thread wanapita kimya kimya hueziwaona
Acha kuongea hoja hewa. Hizo barabara ni sub standards kwa vigezo gani.??Barabara zenu ni za standard ya chini Sana hata kule upande wa horohoro hadi tanga .kama hujui kabila linaloishi korogwe unasema hujui nitakwelewa sio eti lisinisumbue.
Mh, pictures kibao humu za barabara zenu hazina markings. Hamjaamini kuona mabarabara mnaanza kagua markings, mbona mm sijaona speed limits kwa roads zenuMbona zetu za vijijini zina markings?
Huna hata uhakika halafu unabwabwaja tuFuata Uzi uangalie videos acha kunisumbua
NIMEKARIBIA. VIPI? UTAVUMILIA SURA YA KIBAKI?Huna hata uhakika halafu unabwabwaja tu
We manzi mi niko singo kama vipi unakaribishwa
Hata zenu zinakasoro kibao Au wadau waliofika Kenya hadi waziseme hapa,Barabara zenu ni za standard ya chini Sana hata kule upande wa horohoro hadi tanga .kama hujui kabila linaloishi korogwe unasema hujui nitakwelewa sio eti lisinisumbue.