Tanzanians, show us your roads

It is better to close the thread wakenya mwataka kutuvua nguo.....nothing to compare, labda the things that God created, like the Sun,Moon,Air and the like .

Msema kweli daima Mungu humpenda.
Za kwetu wanapiga cha juu wanatengeneza vibarabara vifinyo na havina drainage mvua ikinyesha tunapata shida, ukipishana na roli kubwa unaomba Mungu akunusuru au kuovertake ni shida. Aibu yetu Watanzania kwenye barabara standard
 

Hivi wewe umehesabu picha zilizopostiwa ukaona za Tz ndizo nyingi?
 
Hivi wewe umehesabu picha zilizopostiwa ukaona za Tz ndizo nyingi?
Watanzania wameweka picha na wameeleza urefu wa kila barabara, Kenya zaidi ya kuonyesha, under/ overpasses na barabara chache za vijijini, hakuna zaidi mumeonyesha.
 
Hahahahaha, eti hiyo ndio mnaita interchange, sasa ninaelewa tupo katika level tofauti, kama mlivyochora barabara na mkaziita BRT, Hahahahaha

Haya, tuonyeshe interchange ya bongo maanake sisi Wakenya ambao tumejenga interchange ya Kwanza miaka ya 70s hatujui interchange ni nini. Tuonyeshe ya bongo.
 
Really!! Dont show me "other smaller roads" I just wanted the 16/18 lanes in kakamega/ kisumu. As a matter of fact, Save yourself a breath, you wount find none coz there's none

The biggest road in Kakamega is 4 lane (6 max) and in Kisumu is 6 lanes (8 max).
 

Mbona Kenya kuna flyovers hadi rural areas?

Mau Summit interchange

 
As of 2013 matandao wa barabara tanzania ulikuwa 7000km.....kenya ulikuwa 14400km....hapa nimeweka data ya barabara ambazo serikali ya uhuru imejenga zaidi ya 4000km,bongo leteni data ya barabara zenyu zilizo jengwa tangu 2013.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…