Tanzania's cheap railway may be of poor quality

Tanzania's cheap railway may be of poor quality

Its a rwandan newspaper [emoji23][emoji23]

Uwezekano mkubwa mwandishi ni Mkenya (hiyo ni article ambayo hata wewe unaweza kupeleka gazetini), Wanyarwanda hawana upuuzi kama wenu. Kuna Mkikuyu mwingine huwa anaandika ujinga kuhusu Tanzania kwenye vyombo vya habari vya Afrika Kusini.
 
Always Kenyans are jealousy over Tanzanians development povu linawatoka tu hata tukitengeneza mita mbili za reli inakuhusu nini wewe mtu wa Kenya shame on you
What development


Show me How far the Tanzanian SGR HAS gone here is Kenyan sgr

1492100873896.jpg
1492100878233.jpg
1492100887100.jpg
1492100899042.jpg
 
Subiri iishe ndo uongee. Nyie reli yenu wanasiasa walipitishia hela nyingi mno. Ndo maana construction cost imeenda juu sana. Walikuwa wanatafuta pesa za uchaguzi.
You mean subiri ianze ?
 
Mlifanya ground breaking juzi (ama ni jana?)
Ujenzi rasmi utaanza karibuni, hio mlio onyeshwa ilikua model (nafiki hata wachina ndo waliijenga pale mwanzoni kabla muwadukuze kwa hio dili)
Hua waijenga tu ili wawaonyeshe vile reli yenyewe itakua, kama mita 500 hivi ....
Hata huku kenya kabla waanza kujenga reli yenyewe waligenga model pale mombasa ambayo ndo ilitumika kwa ground braking,,, alafu baadae ndo walianza actual construction


View attachment 495220
huu ni wivu wa mwanamke mjane kwa marehemu Mumewe
 
Unaweweseka! Unatetemeka, unaserereka... Na bado! In the next five years, Tanzania will be leading East Africa by example. In terms of infrastructure and volume of trade and commerce...
Show us what infrastructure is this hehehe mnaongea tu building infrastructure kwa ndoto zenu
 
Uwezekano mkubwa mwandishi ni Mkenya (hiyo ni article ambayo hata wewe unaweza kupeleka gazetini), Wanyarwanda hawana upuuzi kama wenu. Kuna Mkikuyu mwingine huwa anaandika ujinga kuhusu Tanzania kwenye vyombo vya habari vya Afrika Kusini.
Cheap ....kula facts lowkey wacha pang'ang'a mingi bure
 
RE: “Poor collaboration is hindering regional railway project – report” (The New Times Rwanda, March 13).

Last time we learned that President (John) Magufuli (of Tanzania) has been able to negotiate a similar standard gauge railroad at $1.5 million per kilometre.

Dear EALA MPs, it is too early to conclude that Tanzania got a better deal. There is no way you can finance the construction of a one-kilometre Standard Gauge railroad for $1.5 million. Just imagine the cost of the steel rails alone, and without even including the cost of cement, rocks, excavation and labour.

I am not a civil engineer but common sense tells me that the Tanzania deal will end up being so bad that their railway will be of poor quality, very dangerous and more costly in the long run.
read more at Beware of cheap rail projects
Wewe Mkikuyu Mwenye Wivu wa Kijinga Umerudi? Wewe Unafanya Kazi Ubalozi wa Kenya Tanzania - Usisahau Kanuni za Vienna Convention on Diplomatic Relations. Umekumbushwa!!!!!
 
The funny thing is, na nyinyi wakenya mnakubali kumeza uwongo.
Ni ukweli 1.5 bn$???

Am not Stupid

Addis ababa Tram system which is only 17km long cost 400mn$ si mngeomba tram ya 50km izunguke Dar badaka ya Reli nzima
 
huu ni wivu wa mwanamke mjane kwa marehemu Mumewe
Watanzania mnajishuku sana! sijui ni hamjiamini au vipi.....

Anyway, wengi wenu mmeshinda mki imba imba eti tuko a wivu.... Hii inamaanisha hizi siku zote tangu 2015 reli ya Kenya ilipoanza kujengwa mmekua na viazi kooni,, wivu tele mmemezea hizi siku zote mkiona mapicha ya reli ya Kenya kila siku,....hahahahah..... Sasa mwafikiria eti kwavile mmeanza yenu eti ni wakati wa sisi nasi tuwe na wivu...... poleni sana binadamu hua na wivu na kitu ambacho hana, reli yetu ishajengwa phase one, mapicha yanafurahisha ajabu, hata juzi niliota niko pale Nairobi South nafanya check in kwenda Mombasa na kisho flani... Sina mda na kuwa na wivu ya kitu hata sijakiona kiko vipi....

Hebu ni kuulize, mtu flani kama wewe ukinunua gari jipya alafu jirani yako hana (ashikwe na wivu)..... baada ya miezi/miaka kadhaa, uskie jirani yako naye ananunua gari lipya na bado hata hujaliona ni gari la aina gani, je utashikwa na wivu wakati una gari lako tayari ambalo unalipenda???????
 
Back
Top Bottom