Acha ubishi,kurekebishwa au kuvunja inategemea vipengele vilivyo kwenye mkataba vinasemaje ?kama ujauona mkataba kaa kmya.Mikataba ya Tanzania naijua wewe hakuna mtu anayesoma .Hapa nilipo ninamikataba nime signisha na halimashauri Zaidi ya 50 na ukimwuliza mtu kwenye halmashauri inasemaje hata mwanasheria wao hajui na una vipengele Zaidi ya 100 am telling you na kuna mali yeye hawezi kuvunja mkataba every thing nadectate mimi ndio ushangae sasa
Anazungumzia mikataba ya "Halmashauri" na anaifanya ionekane hata hiyo hakuna njia ya kuivunja au kuirekebisha kwa vile anaogopa kushitakiwa! Can you imagine?Nyiye ndiyo uwa mnaingiza mkenge serikali kwa kutokusoma, narudi kama veteran lawyer, unaweza vunja mkataba wowote kama ikigundulika sehemu ya pili haijatendewa haki, kama rushwa imetuka, insane, masilahi siyo sawa. Kama Ridhwani kikwete alikamatwa uko China, hiyo mikataba ndo ikawa suruhu yake kukatwa shingo kwa expense ya watanzania. Hiyo mikataba inaweza futwa.
Hakuna cha mkataba wala nini,magu hana kitu,habari ya mkataba ni vunga,morogoro road njia 4 nayo vp?Hapa naunga mkono serikali ya awamu ya tano chini ya Jiwe.
Futa uone, kilengele kitakutaka ulipe kitu kikubwa au pesa Kiasi kwamba na idi upoeNyiye ndiyo uwa mnaingiza mkenge serikali kwa kutokusoma, narudi kama veteran lawyer, unaweza vunja mkataba wowote kama ikigundulika sehemu ya pili haijatendewa haki, kama rushwa imetuka, insane, masilahi siyo sawa. Kama Ridhwani kikwete alikamatwa uko China, hiyo mikataba ndo ikawa suruhu yake kukatwa shingo kwa expense ya watanzania. Hiyo mikataba inaweza futwa.
Usipanick mjini hapa. Tunalipa kodiAnazungumzia mikataba ya "Halmashauri" na anaifanya ionekane hata hiyo hakuna njia ya kuivunja au kuirekebisha kwa vile anaogopa kushitakiwa! Can you imagine?
Halmashauri 50, yeye pekee ameshikilia mikataba yao iliyosainiwa kimakosa? Tuna watumishi kweli ama huu ni mzaha wa aina yake?
Haukusainiwa soma uzi ueleweShida ilishasainiwa, Sasa implementation itafanyika tu SiSiM ilishatuingiza chaka. Mkataba ni mkataba ukishawekwa sahihi. Watasubiri Magufuli atoke madarakani au watakwenda mahakamani hapo ndio panaogopesha anyway big up awamu hii
Naelewa. Nshakusoma vizuri.Usipanick mjini hapa. Tunalipa kodi
According to speculationMkuu na wew unakubali ridhiwani alikamatwa china na sembe . Dunia ina mambo
time will tell
Ajizi ni nyumba ya njaa
Utawala wa awamu hii ni rahisi sana kucriticize miradi iliyowekwa na tawala zilizopita lakini hauna ubavu wa kuvutia nchini miradi yoyote ya maana
Baadhi ya wanaopinga mradi huu walikuwa katika Baraza LA Mawaziri mnamo mwaka 2013 mradi huu uliposainiwa. Hatukusikia sauti zao. Huu ni ukigeugeuEenh Hee, hilo li-Mkataba si nachana tu hilo likaratasi? Nenda kashitaki unakopenda, utajenga hiyo biashara yako utaipitisha wapi hadi ifike au itoke bandarini kwako?
Huo ukigeugeu ndio janga kuu sana la taifa letu.Baadhi ya wanaopinga mradi huu walikuwa katika Baraza LA Mawaziri mnamo mwaka 2013 mradi huu uliposainiwa. Hatukusikia sauti zao. Huu ni ukigeugeu
time will tell
Ajizi ni nyumba ya njaa
Utawala wa awamu hii ni rahisi sana kucriticize miradi iliyowekwa na tawala zilizopita lakini hauna ubavu wa kuvutia nchini miradi yoyote ya maana
Yet there are practical difficulties, not least that Bagamoyo’s port, unlike Dar es Salaam’s, would most likely need regular, extensive dredging.
According to speculation
Mm mwenyewe nilijiuliza maswali mara mbilimbili hivi kweli serikali yetu imeshindwa kuona picha kubwa Na faida za mradi wakaamua kuupiga chini.Tumelishwa propaganda za Uzalendo
Huu mradi ni mzuri na una manufaa sana.
Sisi hatuingizi senti hata moja kwenye mradi bali hii ni investment ya moja kwa moja yaani tunaleta pesa nchini!, Siyo mkopo huu
Tunashindwa kuona the big picture, Trickle down benefits za mradi, ajira, kodi, kuongeza volume ya mzigo kwa ajili ya reli zetu ambapo kuna fee wasafishaji watatozwa, kuifanya TZ kuwa hub ya mzigo wa china kuingia ndani ya africa, yaani badala ya wafanyabiashara wa Africa kwenda China mzigo wataukuta hapo bagamoyo!, INA MAANA YOTE HAYA HATUYAONI TUMENG'ANG'ANIA BANDARI TU?
Hili dili likiporonyoka, Tutakuwa tumejibania sisi wenyewe, na gharama ya kuijenga hiyo bandari miaka 50 ijayo tutlipa gharama mara tano zaidi ya leo
Tunaacha kujenga bandari tunajenga airport Chato, kweli sisi wa ajabu sana
Mm mwenyewe nilijiuliza maswali mara mbilimbili hivi kweli serikali yetu imeshindwa kuona picha kubwa Na faida za mradi wakaamua kuupiga chini.
Mm naona mradi pamoja na design ya mkataba uliokuwepo ila bado wanufaika tungekuwa sisi zaidi.
Ule mradi ulikuwa unafungua gate la tanzania kuwa soko huria na nchi nyingi za africa zingekimbila hapa kuja kuchukua bidhaa.