Sasa ni zamu ya Wakenya kutusaidia kwa kutushauri na kutupatanisha kama sisi tulivyowashauri na kuwapatanisha kwenye yale mauaji yaliyotokana na uchaguzi. Please its your turn now Kenyans to help us. We cant pretend that we are that much safe, while the reality on the surface shows the opposite! Rais Uhuru Kenyata tafadhali usikae kimya kama jinsi ambavyo Mkapa hakukaa kimya wakati mlipokuwa kwenye matatizo wakati huo. Mgonjwa huwa haulizwi dawa! Jamii yetu inelekea kufarakana, tunahitaji sana jamii yetu ipatanishwe. Tusiendelee kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Kwani mnataka mpaka wapigwe risasi wangapi ili tuhitaji msaada wa matengamano? Haiwezi kukanushika kuwa motive ya jaribio hili la mauaji ni ya kisiasa! Tanzania is bigger than politics! Tanzania and by then Tanganyika was there even before she was assigned the name Tanganyika! She was there even before Nyerere! leave alone TANU, CCM, CHADEMA, CUF and many others with their previous and current leaders! This "blood thirsty" politics is quite new to our society! We even got independence without shading a single atom (leave alone a single drop) of blood! What has happened to my beloved country Tanzania! Hata tukiwa maskini sawa lakini tuwe matajiri wa amani. Simhukumu yeyote maana sijui, lakini Mungu anamjua aliyezalisha moyoni mwake hili wazo la kudai damu ya Tundu Lisu, kisha akaliwekea ratiba ya utekalezaji kwa namna moja au nyingine. Niwakumbushe tu kuwa damu ina kawaida ya kudai kisasi mbele za Mungu! Nawaomba wahusika muogope kitu kinachoitwa kumwaga damu kwa sababu yoyote ile! Utawala wa sheria upewe nafasi ya kuchukua mkondo wake! Na usiombe kisasi cha MUNGU kikushukie, yeye hupatiliza hadi kizazi cha tatu! Mwogopeni Mungu! maana wote tunategemea uhai kutoka kwake.