Mkuu hata kwa rough/unpolish Tanzanite bado kapigwa sana tu.
Buy Tanzanite Rough Online | Gem Rock Auctions
Ubora haupo kwenye uzito tu bali rangi na muundo wa jiwe na ukataji unachangia kwa kiasi kikubwa. Hivyo kupiga hesabu kwa kilo ni kukosea.
Waliopigwa ni Watanzania.
Jiwe hilo lingekua na thamani ya bilioni 10 tu, dealers wangenunua siku nyingi.
Aisee mkuu heshima yako. Nondo zineshiba ile kinomaHapana. Bei hiyo ni kwa a finished cut and polished stone.
Serikali imenunua rough stone ambayo bado haijakatwa wala kuwa polished. Lakini maswali ni mengi.
1. Nani Mnunuzi?
Tunaambiwa mnunuzi ni Serikali kupitia Wizara ya Madini na Benki Kuu ya Tanzania. Wizara ya Madini haijawahi kuwa mnunuzi wala muuzaji wa madini. Leo wamebeba jukumu hilo...
Huwezi mkuta m- uvccm akili hizi
Mshana haya mambo Yana mambo mengi. Kuna kipindi rudi nyuma Miaka zaidi ya 10 Kuna jamaa yangu mmoja anaitwa ayubu yuko singida[emoji44][emoji44][emoji44][emoji144][emoji144][emoji144]
Anaenda kumbwaga Mbatia kule Vunjo!Anafaa kuwa mwenyekiti wa CDM
Umejidharau na kuwadharau wabongo, kwanini mtu kuwa na akili unahoji Kama ni mbongo? Kwani wabongo ni vilaza?Katika vijana makini wachambuzi na wenye uelewa mkubwa ,basi Malisa GJ ni namba 1.
Nimesoma hii artcle yake juu ya Tanzanite, hadi nimetamani vijana kama hawa wawe msaada kwenye kuweka mikakati ya Taifa hili.
Ivi huyu Kijana ni mbongo kweli?
Kwa kweli sijawahi mwona ila inaonekana ni bonge la genius...
Hapo mayumbu wa ufipa wanamuona mjanja kisa kuzungumzia kuweka Tanzanite makumbusho, upuuzi sanaKatika vijana makini wachambuzi na wenye uelewa mkubwa ,basi Malisa GJ ni namba 1.
Nimesoma hii artcle yake juu ya Tanzanite, hadi nimetamani vijana kama hawa wawe msaada kwenye kuweka mikakati ya Taifa hili.
Ivi huyu Kijana ni mbongo kweli?
Kwa kweli sijawahi mwona ila inaonekana ni bonge la genius...
Yeye mhusika hajalalamika!Mkuu hata kwa rough/unpolish Tanzanite bado kapigwa sana tu.
Buy Tanzanite Rough Online | Gem Rock Auctions
Yeye mhusika hajalalamika!
Acheni basi ubishi:You need to aknowledge Malisa's source.
Pia Si kweli, hili jiwe halipo Thailand.
Wavunja moyo kama nyie nilijua tu mtajitokeza[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Ukiongelea mji wa Bangkok unatakiwa ufahamu kuwa ni kati ya miji inayoongoza kwa utalii duniani, stahere zote za kidunia zipo huko, ufuska wote unao ujuwa wewe basi huko upo,
Kuna wazungu wanaamua kukaa huko miaka miwili hadi mitatu na wengine maisha yao yote ili kustarehe tu huko Bangkok hadi siku watakayokufa bila kurudi kwao,
Turudi kwenye mada kuu "kufanya maonesho ya Tanzanite kubwa duniani hapahapa Tz"...
Hii habari mimi bado naitazama kwa jicho la tahadhari sana.Kwa sababu ya kutojua na hata kama hatalalamika HAIBADILISHI ukweli kwamba Serikali IMEMDHULUMU mabilioni yake mengi sana.
Iyo Tanzanite leo ikiwekwa kwenye mnada wa kidunia inaweza kununuliwa hata kwa 1trillion. Kitu kama icho kwanza thamani yake sio kwa carats. Ukubwa wake na jisi ilivyovunja record.Serikali hii IMEMDHULUMU huyo jamaa mabilioni mengi sana. 15kg ni sawa na 75,000 carats (1 carat is equal to .0002kg)
Na bei ya carat moja kutokana na daraja la Tanzanite ndiyo hiyo hapo chini.
Tukichukia hata bei ya chini kabisa ya $300 kwa carat moja. Kwa 75,000*$300 angepata $22,500,000 times conversion rate ya 2,300 angestahili kupata shilingi 51.7 billions.
For richly colored AAA Tanzanite, 1ct is approximately worth $300-$425 per carat. 2ct sizes reach $450-$650 per carat. 3 carats and up will reach $650-$750 per carat. The changes taking place in Tanzania makes tanzanite a very good investment stone.
Nimeona hizo picha za hilo jiwe lakini najiuliza hilo Jiwe ni kweli lipo na ni halisi?Iyo Tanzanite leo ikiwekwa kwenye mnada wa kidunia inaweza kununuliwa hata kwa 1trillion. Kitu kama icho kwanza thamani yake sio kwa carats. Ukubwa wake na jisi ilivyovunja record.
Refer to ile diamond kubwa iliyopatikana SA.