Tanzanite iliyonunuliwa na Serikali yavunja rekodi kwa ukubwa duniani | Inaweza kutumika kukuza Sekta ya Utalii

Alhamisi niliona BBC wakisema mchimbaji aibuka Milionea overnight sasa sijajua tule masai kwa mshiko aliopata ni Milionea au bilionea
 
Acha ujinga wewe KURIZIKA ndiyo mdudu gani!? Kama alicholipwa hakifiki hata robo ya kile alichostahili kuna ubaya gani kuweka hadharani ili kuwafungua macho wengine watakaobahatika kama yeye ili wahakikishe wanalipwa kile wanachostahili badala ya KUDHULUMIWA? 😳😳😳

Hata maana ya ubinafsi hujui. Ficha ujinga wako.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…