The centre of wealthy, civilisation, power and knowledge in Africa ni Hapa kwa Kaburu Beberu mdogo, ndipo wajanja wanapofia, kutibiwa, kula bata, kujirusha, Kupumzika, Kuishi wakisha staff, huyu huenda alikuwa anaishi huku, Bongo ni kuchuma na kusalimia tu.
Miaka ijayo watazikwa hukohuko,Ili roho zao ziburudike na ubaridi wa south. miili yao isioze haraka.
Kajamba nani wa Bongo Darisalama hufia Temeke, Mwananyamala, MNH nk. hawaendi kutibiwa mikoani, wa mikoani sasa km wanao wanapesa huletwa Lugalo military Hosp.
Hii Hosp. ya Lugalo angalao ni number moja Bongo kutoa huduma Bora, kwa taasisi za serikali. ndipo ma boss wa sirkali km wabunge, Mawaziri, Ma-Canal, Mabrigadier hufia hapa! Pakuagia Pazuriii, Mortuary nzuriiiii! pametulia kwenye vivuli vya miti utadhani siyo Bongo yenye joto.
Wa mikoani ndiyo mama yangu poleni zao, hata kitanda cha kulazwa mgonjwa hutakaa ukipate, wanakufa wamesimama , Mortuary za mkoa ni mazalia ya popo tangu Marehemu Samora Machel alipotoa msaada mpaka wa leo, hazifanyikazi.
Vitanda vya Hospitali za Mikoani ni special, vimewekwa akiba ajili ya Madiwani, wakuu wa mikoa/Wilaya na familia zao, wafanya biashara wenye jina,
Duuuuh!