Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Bakhresa sio Mbongo wa ngozi nyeusi yule?Nini kimuondoa?
Baada ya Mengi kuondoka yeye ndio alikuwa mtanzania mweusi mwenye ukwasi akiyebakia
Kiduku lilo bado yupo hai mkuuDaaaah Bilionea wa Pili Naye ameenda Baada ya R. Mengi.
Kumbuka kwamba Mengi hakufa na ukwasi wake, wapo watoto na kampuni ile sasa ina hela zaidi ya wakati wa Mengi.
Naona juzi Mkono benk ya exim imetangaza kuuza apartments zake kwa kudaiwa $750,000.yeah tena wenye hela chafu akina mkono na rugemarila
Hata top 100 anaweza asiwepo kabisaa.Hata top 20 hayupo mzee shirima,mambo yake yaliyumba kitambo ndio mana unaona kampuni inandege chache,istoshe hiyo kampuni ina wabia warombo wenzake mfano basil mramba
Bilionea Kiduku yupo,nadhani atakuwa Likizo ya December Malibu ,L.A anapumzika.Kiduku lilo bado yupo hai mkuu
Poleni wafiwa wote
R.I.P Mr. Mufuruki.. jana tulikumisi kwenye CEOrt.
No sijawaza inshu hio mkuu,nilikua nawaza suala la succession plan tu.
Wewe ndiye mwenye fikra hizo.Huyu
Kwenye hii Dunia ya sasa unajidanganya rafiki Fikra za kizamani hizo kuusu watoto wa kike na Kidunye, kwa taarifa yako watoto kike wana nguvu kuliko hao wa kiume siku hizi
wakati familia ilikuwa kwenye mgogoro ndugu, na hizo hela zimeongezeka kutokana na lipi? wakati mengi kafa juzi tu hata mwaka hana...na migogoro ikishaanza ndio kwaheri
Mnafiki ban imeishaPoleni wafiwa wote
R.I.P Mr. Mufuruki.. jana tulikumisi kwenye CEOrt.
Mpemba.. Wapemba wanaji consider kama WaarabuHivi Bakhresa sio Mbongo wa ngozi nyeusi yule?
Ulisoma soma shule japo kidogo?Mzee Mengi alikua ni Spender, misaada kwa sana bila Sababu watoto wanajua kutunza hela sio Maspender
sasa unasema hela zimeongezeka zaidi wakati operesheni za kampuni ni zile zile? Kampuni zinaweza kuwa hazijasimama kwa sasa, ila migogoro inasababisha kampuni nyingi kufaHela zimeeongezeka kwa lipi? Swali gani hilo ? Kwa hiyo wakiwa kwenye migogoro company zimesimama? ITV, EATV nk hazipo hewani?
Ulisoma soma shule japo kidogo?
Alikua ana spend not more than 2% ya gross revenue/annum ya Co. kwny CSR ambayo ndio inaruhusiwa kwny mambo ya kodi.
So by spending % hio wala haina effect kwny hesabu za Co.
Mengi hakua fala ndio maana akaifikisha co. Pale ilipo.Wewe ni accountant wake ?una uhakika alikua anatumia 2% only kwneye CSR
Unajua alizokua anatoa toa bila plan kwa kina Makonda na wengine ?