Mrigariga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 1,760
- 1,619
Waliwahi kuwa miongoni mwa super dealers wa Vodacom Tanzania Ltd.Infotech wanauza nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliwahi kuwa miongoni mwa super dealers wa Vodacom Tanzania Ltd.Infotech wanauza nini?
Ameshazidi hiyo miaka 7 yuko above 14.Acha uongo,ana mtoto wa kiume tena mdogo sana,sidhani hata kama kafikisha miaka 7 huyu mtoto,kwa mke wake Msomali hapa Kunduchi mtaa wa 170... Ni jirani yangu,so najua ninachoandika
Nini kimuondoa?
Baada ya Mengi kuondoka yeye ndio alikuwa mtanzania mweusi mwenye ukwasi akiyebakia
Sofia. She's in her early 20's. Baada ya Sofia ndiyo hiyo Tigenye.Amezaa mtoto wa kiume anaitwa TIGHENYE na mabinti zake watatu ni ZAHRA, LEYLA mwingine nimemsahau
Alikuwa na biashara nyingi tu. Hata Zuku (Pay TV) yeye ndiye mmiliki hapa Bongo.Sasa mkuu kazi za IT na printing na kuuza nguo zinaweza kumfanya mtu kuwa bilionea kumi bora Tanzania?Au Kuna vitu vingine zaidi ambavyo havijulikani?
Kwa hiyo unasemaje kuhusu ilo ?Huyu nasikia alikuwa m/kiti wa bodi ya ATCL ilipoanza kuyumba hadi kufa
Mimi naongelea principles tu, naisema regime ya Magufuli kama ninavyoisema regime ya Trump.Umepambanua uhuru wako vyema
jambo ambalo ni zuri na ni haki yako,
lkn nimemaizi ya kwamba moyo wako una vidonda vikubwa sana na regime hii.....
but there is nothing you can do....
Tatizo hauna exposure so unataka Hadi uwakute vichochoroni ndio uanze kuwatongoza hiyo ni njia primitive Sana.Ni rahisi kwa mbantu kuoa mzungu kuliko kuoa msomali au mwarabu. Hao watu ni nadra kuchanyika na jamii nyingine tofauti na wao. Sio kwamba haiwezekani, lakini huwa hawapendi kuchanganyika.
Mungu amsamehe madhambi yake.
wakati tunaendelea na msuba na maombolezo niulize tu swali dogo, je alikuwa na.maelewmao mazuri na Naibu makamu wa Rais wa kwanza wa Dar?
Tatizo hauna exposure so unataka Hadi uwakute vichochoroni ndio uanze kuwatongoza hiyo ni njia primitive Sana.
Siku hizi Kuna njia nyingi Sana za kuanzisha mahusiano na watu wa aina yoyote duniani.
😀 😀 😀Kurlzawa said:mtu mwenye pesa kuliko familia yenu yote
Mfano wewe, bora ungekufa wewe aisee! As you know the fact that you are an article of no commercial value!
Go Mfuruki NSHOMILE
Kwangu Mimi nawapata kwa urahisi Tena wengi tu hadi nashindwa nimuoe yupi nimuache yupi kuanzia hao waarabu Hadi wasomali unaosema.Nazungumzia kuwapata kwenye mazingira ya kawaida, sizungumzii kwenye mazingira ya vipato vikubwa, ni vyema unapozungumzia urahisi uzungumzie kundi la waliowengi. Ndio maana hata mimi nikasema sio kwamba haiwezekani, ila sio kwa urahisi.
Kwangu Mimi nawapata kwa urahisi Tena wengi tu hadi nashindwa nimuoe yupi nimuache yupi kuanzia hao waarabu Hadi wasomali unaosema.
Na sio kwamba naishi uzunguni kwetu uswahilini tu ila Nina confidence tu.
Ila mkuu huwa huamini uwepo wa Mungu.Rest In Peace Mr. Mufuruki.
My heart gies out to family and friends.
Jana tu nilikuwa naongea na mtu, nikamtaja Mr. Mufuruki alivyokuwa frustrated na serikali ya Tanzania licha ya kuiunga mkono sana.
Mwaka huu umemchukua Mr. Reginald Mengi, kabla haujamalizika umemchukua Mr. Ali Mufuruki.