TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

Aliyekuwa mume wa zamani wa Irene Uwoya ,Hamad Ndikumana Kataut ambaye pia alikuwa kocha msaidizi wa Rayon Sports amekutwa amefariki dunia ingawaje mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijawekwa bayana kwa kuwa hata jana alishiriki vizuri mazoezi na alikuwa bukheri wa afya.

Mwili wake kwa sasa umehifadhiwa mochwari ya Rwampala huku taratibu nyingine za mazishi zikiendelea kufanyika

 
Sorry huyu ndo ndiku wa uwoya?
 
Itakua cardiac arrest tu..alikua anahangaika sana recently huko instagram na inaelekea aliumia mnoo kuhusu the so called ndoa ya dogo janja..si kwa caption zile..
Wanamichezo wako vulnerable to cardiac arrest kwa sababu ya kudhoofika kwa misuli ya moyo kutokana na moyo kufanya kazi sana.. Mara nyingi heart attack au blood pressure ndo huendana na stress ingawaje ni nadra sana kwa Wanamichezo kufa kwa blood pressure/heart attack kwa sababu ya stress isipokuwa tu kuwe kuna tatizo la moyo limesabisha hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…