Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kama ni true love jamaa alimpenda sana Irenekumbe kule insta alikua anaenjoi machoni tu lakini moyoni alikua na maumivu makali mweee.....uwoya sijui alimpa tako huyu jamaa maana si kwa kuumia kule
Sorry huyu ndo ndiku wa uwoya?Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia. Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya soka ya Rayon Sports ambayo inaongoza kwa kuwa na mashabiki wengi nchini Rwanda. Uongozi wa timu hiyo umesema jana Katauti alifanya mazoezi na wachezaji wake akiwa buheri wa afya. Mwili wake umekutwa nyumbani kwake mjini Kigali akiwa amefariki dunia. Haijajulikana kifo chake kimesababishwa na nini kwani hakuwa mgonjwa na wala hajafanya ajali.
Mwili wake umepelekwa monchwari ya kiislamu ya dispensari ya Rwampala kwa maombi ya familia yake kwani miili ya waislamu haihifadhiwi katika monchwari za kawaida kwa mujibu wa imani zao.
Mungu ampe malazi mema peponi.
Sijui ataangaliwaje huko msibani, kwa kiasi flani ndiku alipata sana stress baada ya Irene kufunga ndoa.Irene itabidi ampleke mtoto kwenye msiba wa baba yake
Wanamichezo wako vulnerable to cardiac arrest kwa sababu ya kudhoofika kwa misuli ya moyo kutokana na moyo kufanya kazi sana.. Mara nyingi heart attack au blood pressure ndo huendana na stress ingawaje ni nadra sana kwa Wanamichezo kufa kwa blood pressure/heart attack kwa sababu ya stress isipokuwa tu kuwe kuna tatizo la moyo limesabisha hivoItakua cardiac arrest tu..alikua anahangaika sana recently huko instagram na inaelekea aliumia mnoo kuhusu the so called ndoa ya dogo janja..si kwa caption zile..
Ndio yeye huyooSorry huyu ndo ndiku wa uwoya?
Hakutaka hata kuacha nae, Irene alikuwa mwanamke wa ndoto zake.Sijui ataangaliwaje huko msibani, kwa kiasi flani ndiku alipata sana stress baada ya Irene kufunga ndoa.
Mapenzi haya, tujitahidi tupende kwa kipimo unakufa unamuacha mwenzio anastarehe.
Duh, atakuwa alikuwa na stress zake maana recently he was trying hard kuonyesha kuwa he was fine and moving onNdio yeye huyoo
Nahisi Irene atajuta sana kwa hili!Hakutaka hata kuacha nae, Irene alikuwa mwanamke wa ndoto zake.
Kwani Ndiku si alifunga ndoa ya ki kristo na Uwoya? Au alibadili dini?Mwili wake umepelekwa monchwari ya kiislamu ya dispensari ya Rwampala kwa maombi ya familia yake kwani miili ya waislamu haihifadhiwi