Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaaah ni true love hapo iliyopitiliza hakuna kingine maana ile ndoa ya ghafla na dogo janja imempa heartattack ya kupelekea icho kifo kabisaaaaKama ni true love jamaa alimpenda sana Irene
Irene itabidi ampleke mtoto kwenye msiba wa baba yake
yupo bize na mbo.o mpya ya dogo janjaHivi huyu Uwoya ataenda Rwanda kudai haki za mwanaye au
Ninadhani alikuwa na moyo kuwa kuna siku watarudiana sasa ndoa uliwekwa msumari wa mwisho kwenye jeneza kuhusu wazo hiloyaaah ni true love hapo iliyopitiliza hakuna kingine maana ile ndoa ya ghafla na dogo janja imempa heartattack ya kupelekea icho kifo kabisaaaa
kanisa katoriki unaweza kufunga ndoa na mtu wa dini nyingine na anaendelea na dini yake.Kwani Ndiku si alifunga ndoa ya ki kristo na Uwoya? Au alibadili dini?
kumbe kule insta alikua anaenjoi machoni tu lakini moyoni alikua na maumivu makali mweee.....uwoya sijui alimpa tako huyu jamaa maana si kwa kuumia kule
Dogo janja naye amsindikize mkewe maana hakuwa na ugomvi nayeIrene itabidi ampleke mtoto kwenye msiba wa baba yake
sasa na wew sky eclat uje unifanyie ivo..nikifa tu utaona.Ninadhani alikuwa na moyo kuwa kuna siku watarudiana sasa ndoa uliwekwa msumari wa mwisho kwenye jeneza kuhusu wazo hilo
Imeunganishwanashangaa niliweka thread imefutwa labda hajafa
hata awe buzy unafikiri kwenye hela si ataipumzisha kwanza doh humjui huyo mdada kwenye hela ahyupo bize na mbo.o mpya ya dogo janja
Sijui ataangaliwaje huko msibani, kwa kiasi flani ndiku alipata sana stress baada ya Irene kufunga ndoa.
Mapenzi haya, tujitahidi tupende kwa kipimo unakufa unamuacha mwenzio anastarehe.