TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

Inaonyesha alikua anateketea ndani kwa ndani. Mapenzi haya, kwa jinsi tulivyoumbwa wengi unamfia mtu mmoja tu? Si angechagua mungine tu. Wanawake walivyo wengi, tena wanawake wa kinyarwanda walivyo wazuri. Angejitwalia tu dada ake wa kinyarwanda mmoja akaweka ndani
Mbona alikua ashapata mwanamke mwingine na wanajirusha insta
 
We Live Once , We Die Once

Let's Enjoy Life To The Fullest

R.I.P Ndikumana
 
Dogo J ameua pasipo kukusudia, naskia eti mapenzi yanaua aiseeeeee
 
Ndio huyo huyo ila usije kusema ni mkono wa Dogo Janja.

Duh! Aisee! Huyu jamaa naamini alitaka sana kuendelea kuwa na irene ila dada zenu ndo vile tena. Anyway, apumzike anapostahili.
 
Mkuu hivi hawa kunguru wa Zanzibar (tunaowaita bongo movie) huwa wanajuta kweli? Hao waowane wenyewe kwa wenyewe siku mbili wakiachana wanauza magazeti
Mkuu kifo ni kitu kingine ukiangalia amezaa nae
 
habari ya kusikitisha, mume wa zamani za Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia. Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya soka ya Rayon Sports ambayo inaongoza kwa kuwa na mashabiki wengi nchini Rwanda. Uongozi wa timu hiyo umesema jana Katauti alifanya mazoezi na wachezaji wake akiwa buheri wa afya. Mwili wake umekutwa nyumbani kwake mjini Kigali akiwa amefariki dunia. Haijajulikana kifo chake kimesababishwa na nini kwani hakuwa mgonjwa na wala hajafanya ajali. Mwili wake umepelekwa monchwari ya kiislamu ya dispensari ya Rwampala kwa maombi ya familia yake kwani miili ya waislamu haihifadhiwi katika monchwari za kawaida kwa mujibu wa imani zao. Mungu ampe malazi mema peponi.
Aisee huko duniani watu wameendelea,siku hizi mna mpaka mortuary za kiislam?aisee!
 
Kamati ya Ufundi imefanya yake.... Poleni sana wanafamilia...
 
R.I.P,kweli vya dunia tunaviacha juzi tu kapost anapata mahaba kwa mrembo mzuri leo Roho imeacha mwili.
Inatakiwa tujiandalie njia nzuri kwa kutenda mema yanayompendeza Mwenyezi Mungu.
9d49105c4d353136dbfacefd5462558b.jpg
Sitaki kuamini jamaa amemuacha mtoto mkareeeee....
R.I.P Ndikumana
 
Ule utafiti unaosema wanaume wengi wanakufa na msongo wa mawazo nimeanza kuuelewa! poor Baba Krish kapumzike salama jamani,dunia tunapita juz tu si walikua wanapeana vijembe na Irene???
 
Back
Top Bottom