TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

Depression really kills. Plus people stop harassing those going through struggles especially of heartbreak or confusion. Spread love and comfort. Let's make this world a better place for you I and everyone
 
Hii dunia watu wanapitia matatizo mengi sana ! Watu wana misongo ya mawazo mnooooooo. Lakini sisi wanadamu tunatumia muda mwingi sana kutake advantage ya matatizo Yao na kuyakuza mambo, sometimes tunaenda mbali na kufanya matatizo ya wengine habari za kucheka na kupiga soga za umbea ! Kumbe wengine wanaumia na mioyo Yao ni dhaifu! It's about time watu wajue mitandao kwa asilimia kubwa wakati inafurahisha wengine pia inachangia wengine kuumia zaidi na hata kupoteza maisha ! Mwenyezi Mungu asisahaulishe watu waliomake fun of situation ya Ndikumana! A lot of people made fun of him kumbe anaumia ndani ! Tunaendekeza binaadamu ubuyu bila kujua duvet bullying takes away lives kwa kiwango kikubwa
 
Rip inawezekana ni stress akifikiria chali ya r inasimamia show ya paapa.Maisha ya dunia ya kupita nashangaa watoao uhai wa wenzao kwa ajili ya Mali au Madaraka
Ujumbe tosha huu, hapa dunian tunapita pita... ipo siku nitashangilia vifo vya watu flani si kwa mateso nayokumbana nayo...
 
Jamani. Si juzi tu.alikuwa ok.
Kweli kifo tunatembea nacho...
Pumzika kwa amani. Shem
 
R.I.P,kweli vya dunia tunaviacha juzi tu kapost anapata mahaba kwa mrembo mzuri leo Roho imeacha mwili.
Inatakiwa tujiandalie njia nzuri kwa kutenda mema yanayompendeza Mwenyezi Mungu.
9d49105c4d353136dbfacefd5462558b.jpg
Mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu kama punguani.
 
Pumzi zinatuhadaa mkuu kwa kudhan labda tutaishi milele lakin wap
 
R.I.P
....ila dah kifo buana[emoji26] [emoji26]
 
Acha kuhukumu, ndikumana alipoacha na uwoya alikuwa na anaishi na mwanamke mwingine mpaka mauti yamemkuta
Hata ivan alipoachana na zari alikuwa na wanawake mwingine zali nae alipita kwa wanae zaidi ya 2 kabla ya kuanza na diamond, huwezi walaumu wanawake hawa kuachana ni kitu cha kawaida
Kuishi na wanawake wengine siyo solution,ni kwamba hawakudigest kule kuachwa,kumbuka hawa wanaume ndo waliachwa.Mwanamme anaweza kulala na mademu kibao ila hata hawapendi.Mke wake ndo kila kitu.Hivyo hata kama alikuwa na wanawake wengine.Believe me kuona Irene kaolewa kimemuuma sana na alishindwa kabisa kulet it go.Kumbuka Walifunga ndoa kabisa na Irene.Memories never die.
 
depression ni mbaya sana , usijifanye ur ok while ur not ok, speak it loud people won't understand u but it will heal, ukijifanya am ok cjui Nina dem mkali cjui mimi mgumu itakucost
 
Back
Top Bottom