TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

Rip brother ndiku mana

Sasa hao wachezaj wawili kufa wote kwa mpigo ndo nini aisee au paul anahusika nini
 
Ni kweli hata Kipingamizi cha kuanza kwenda Kituo cha afya kila Jumanne na Ijumaa sasa hatakuwa hana tena. Wewe unaona Gari kila siku inasumbua Injini na kuna Mtumiaji mwingine wa hiyo Gari ameikataa Kuinunua halafu Wewe na ushamba ushamba wako unakurupukua Kuinunua kwa Vijihela vyako vya ' ngama ' kwanini na Wewe isikumalize tu kwa Ajali? Uzuri wa Injini nyingi za siku hizi wala huhitaji hadi kumchukua Fundi ili akaangalie kama ni mbovu au nzima bali hata Wewe dereva tu mwenyewe unaweza ukagundua.

Naomba niishie hapa tafadhali na R.I.P sana Ndikumana.
Umetumia mafumbo sana ila umesomekaaaa!!
 
Kwa habari nilizozipata hivi punde kuwa Aliekuwa Mme wa Irine Uwoya amefariki Dunia jana usiku kwa ugonjwa wa moyo.

Taarifa zaidi zinakuja
4a9fae71096775cee3edcae0693cb3d3.jpg
Inaonekana alimpenda sana mkewe..taarifa za mkew kuolewa zilimuumiza sana..
 
Dogo J ameua pasipo kukusudia, naskia eti mapenzi yanaua aiseeeeee

Kwa nilizozinyaka kutoka kwa Mchezaji wa Kibongo ambaye alikuwa ni Rafiki mkubwa sana wa Marehemu na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC nadhani ingefaa sasa tuanze kumpa pole Dogo Janja na kumuandaa Kisaikolojia mapema na pia kuwapa pole sana Waandishi wa Habari za Michezo wawili wa Kike mmoja sasa ni Bosi katika Chama chao ni mwingine alikuwa ile Media ya Sinza na sasa yupo Media ya Tabata na ambaye pia alishatoka Kimapenzi na aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Mshambuliaji kutoka nchini Zambia. Naomba niishie hapa tafadhali. R.I.P Ndikumana.
 
Kwa nilizozinyaka kutoka kwa Mchezaji wa Kibongo ambaye alikuwa ni Rafiki mkubwa sana wa Marehemu na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC nadhani ingefaa sasa tuanze kumpa pole Dogo Janja na kumuandaa Kisaikolojia mapema na pia kuwapa pole sana Waandishi wa Habari za Michezo wawili wa Kike mmoja sasa ni Bosi katika Chama chao ni mwingine alikuwa ile Media ya Sinza na sasa yupo Media ya Tabata na ambaye pia alishatoka Kimapenzi na aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Mshambuliaji kutoka nchini Zambia. Naomba niishie hapa tafadhali. R.I.P Ndikumana.
We jamaa mbona unaandika nusu nusu
 
Kuna siku mwaka huu kipindi cha The Wekend Chat Show, clouds tv aka SHILAWADU soudy brown alimuuliza dada mmoja kuwa kuna tetesi amekanyaga umeme, huyo dada alijibu kuwa ni maneno ya mtaani tu!
 
Kwa nilizozinyaka kutoka kwa Mchezaji wa Kibongo ambaye alikuwa ni Rafiki mkubwa sana wa Marehemu na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC nadhani ingefaa sasa tuanze kumpa pole Dogo Janja na kumuandaa Kisaikolojia mapema na pia kuwapa pole sana Waandishi wa Habari za Michezo wawili wa Kike mmoja sasa ni Bosi katika Chama chao ni mwingine alikuwa ile Media ya Sinza na sasa yupo Media ya Tabata na ambaye pia alishatoka Kimapenzi na aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Mshambuliaji kutoka nchini Zambia. Naomba niishie hapa tafadhali. R.I.P Ndikumana.
Ohoo nimeunganisha dot kwa hii coment yako na coment ya barafuyamoto hapo chin nimepata mwanga
 
Kwa nilizozinyaka kutoka kwa Mchezaji wa Kibongo ambaye alikuwa ni Rafiki mkubwa sana wa Marehemu na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC nadhani ingefaa sasa tuanze kumpa pole Dogo Janja na kumuandaa Kisaikolojia mapema na pia kuwapa pole sana Waandishi wa Habari za Michezo wawili wa Kike mmoja sasa ni Bosi katika Chama chao ni mwingine alikuwa ile Media ya Sinza na sasa yupo Media ya Tabata na ambaye pia alishatoka Kimapenzi na aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Mshambuliaji kutoka nchini Zambia. Naomba niishie hapa tafadhali. R.I.P Ndikumana.
Duhhh......[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mdomowangu umebaki wazi kabisaaaaaaaa......[emoji47] [emoji47] [emoji47]
 
Kuna siku mwaka huu kipindi cha The Wekend Chat Show, clouds tv aka SHILAWADU soudy brown alimuuliza dada mmoja kuwa kuna tetesi amekanyaga umeme, huyo dada alijibu kuwa ni maneno ya mtaani tu!
Nikiunganisha na ile coment ya gentamycime kuna kitu nakipata hapa
 
Umetumia mafumbo sana ila umesomekaaaa!!

Nashukuru kwa kunielewa mapema Mkuu na nawacheka tu hapa Watu wanaosema mara sijui ni Stress mara sijui Tatizo la Moyo na maneno / tuvituvitu kibao wakati hata Wachezaji wenzake wengi huku Bongo mmoja akiwa anafanya katika Kampuni ya Tajiri Kijana barani Afrika walishalijua tatizo lake zamani sana kama ambavyo walilijua tatizo la Wachezaji wawili ambao ni Wahenga kidogo ambao kwa sasa mmoja anacheza Klabu ya Maji Maji ya Ruvuma ( Songea ) huku mwingine akianza kula pensheni yake taratibu ndani ya Klabu inayo jinasibu / kujiita ya Kimataifa.

Nawaonea sana huruma Waandishi wa Habari za Michezo wa Kike nchini Tanzania. Naomba niishie hapa tafadhali na niseme tu tena R.I.P Ndikumana.
 
Acheni uchawi, ndoa ifungwe wiki zilizopita heart attack itokee leo? Au ndo kwamba jana alikua anamuwaza sana? Bora mniambie jana dogo janja ndo alimgegeda uwoya wakamtumia picha jamaa. Kama ni kweli bas ubongo na moyo wake havina ushirikiano, yan ubongo ulijua mtu kafunga ndoa wiki iliyopita taarifa ikafika kwenye moyo jana, Izlaeri akafanya yake.
 
Back
Top Bottom