TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

Aiseeee
May his soul rest in peace
Life is too short
 
Ohoo nimeunganisha dot kwa hii coment yako na coment ya barafuyamoto hapo chin nimepata mwanga

Sawa ila siku zingine uwe unajitahidi sana kumuelewa haraka GENTAMYCINE Mkuu. Na ukiona naandika post halafu mwishoni nasema naomba niishie hapa tafadhali na naiwekea alama nyekundu kabisa jua kuna kitu Nyeti na cha Hatari kabisa ila Kimaadili sikiweki wazi lakini nitakifumba fumba tu na mwenye akili za haraka atang'amua / ataelewa.
 
Jamani tubet nani anafuata.
Zari -Diamond = Ivan
Uwoya -Janjaro =Ndikumana
solve Zamaradi vs Jamaa yake mpya=?
Soln
from eqn 1&2 use log X base 10 both sides
Also let Ruge to be an Element of X. Wadau wa Integration mtaendelea.
RIP NDIKUMANA
 
Sawa ila siku zingine uwe unajitahidi sana kumuelewa haraka GENTAMYCINE Mkuu. Na ukiona naandika post halafu mwishoni nasema naomba niishie hapa tafadhali na nakiwekea alama nyekundu kabisa jua kuna kitu Nyeti na cha Hatari kabisa ila Kimaadili sikiweki wazi lakini nitakifumba fumba tu na mwenye akili za haraka atang'amua / ataelewa.
Mi nilikusoma mapema nikakumbuka na kipindi cha clouds cha shilawadu.
 
Wanaume huwa tuna mitihani miwili maishani;
1. Kutafuta mafanikio kiuchumi
2. Kuwa na mke anayejielewa

Hayo ni kama masomo ya chuo ni lazima ufaulu yote ili uweze kugraduate ukifeli moja hasa hili (mwanamke) core subject, unakuwa umeshaharibu maisha yako.

[emoji26] [emoji26] [emoji26]
R.I.P brother...
 
Duhhh......[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mdomowangu umebaki wazi kabisaaaaaaaa......[emoji47] [emoji47] [emoji47]

Kama Wewe ni mfuatiliaji sana wa miziki ya Kikongo kama PATO8221 Mkuu nitafutie Mtu aliyepiga Gitaa la Solo katika Wimbo wa Kanda Bongoman ule maarufu wa ' Inde Monie ' halafu huyo huyo tena akipiga Gitaa lake hilo hilo la Solo katika Wimbo maarufu wa ' Evelyne ' ulioimbwa na Aurlus Mabele halafu huyu huyo tena akalipiga Gitaa lake hilo zuri la Solo katika Wimbo mtamu wa ' Wapi Yo ' ulioimbwa na Mwanamama Yondo Sister na bahati nzuri katika hizo nyimbo zote huyo Guitarist hatari huko Kongo alitajwa wenyewe mnasema ' alifagiliwa / alipaishwa '. Ukishampata / Ukishamjua baki nalo moyoni mwako ila vuta tu picha yako wapiga Magitaa ya Solo wengi huwa wanafanyaje mikono yao kisha mwishoni utajiongeza mwenyewe.
 
Kwa nilizozinyaka kutoka kwa Mchezaji wa Kibongo ambaye alikuwa ni Rafiki mkubwa sana wa Marehemu na wamecheza wote kwa mafanikio makubwa ndani ya Kikosi cha Simba SC nadhani ingefaa sasa tuanze kumpa pole Dogo Janja na kumuandaa Kisaikolojia mapema na pia kuwapa pole sana Waandishi wa Habari za Michezo wawili wa Kike mmoja sasa ni Bosi katika Chama chao ni mwingine alikuwa ile Media ya Sinza na sasa yupo Media ya Tabata na ambaye pia alishatoka Kimapenzi na aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Mshambuliaji kutoka nchini Zambia. Naomba niishie hapa tafadhali. R.I.P Ndikumana.
Mbona yalisemwa humu kuwa gari ya Irene inafanyiwa service pale kwenye garage ya Mwananyala si nzima sana.
 
Iren usiende Rwanda kutuumbua kila SAA uko msibani unapost insta unacheka mpaka jino la 32 linaonekana
 
Back
Top Bottom