TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

Izrael sa nyingne kumbe muoga, anavizia ukiwa umelala. Dawa ni kulala na panga mkononi, au akiingilia kwenye pembe ya ukuta we unapotea kwenye sakafu.
 
Mbona yalisemwa humu kuwa gari ya Irene inafanyiwa service pale kwenu garage ya Mwananyala si nzima sana.

Ndipo hapo sasa nawashangaa ' abiria ' wengine kuanza kusema sijui Dereva labda ni stress za kuendesha Gari muda mrefu au sijui aliachika wakati ' Watoto ' wa mjini wa ' Watu wa mpira ' tuliyemjua Ndiku kitambo tu tulishatonywa kwamba siku nyingi Gari yake iligonga nguzo ya Umeme huku akiwa ameweka mziki mkubwa wa Kikongo ambao kwa mbali sana lilikuwa linasikika Gitaa la Dally Kimoko akilikung'uta vizuri upande wa Sebene. Na unaambiwa tokea siku hiyo wapate hiyo Ajali hapa katika Nguzo hiyo ya Umeme huku akiwa na Irene basi ilimlazimu tu Irene awe anapatia tu service ya Gari yake hapo hapo Mwananyamala Garage siku za Jumanne na Ijumaa.
 
Ndipo hapo sasa nawashangaa ' abiria ' wengine kuanza kusema sijui Dereva labda ni stress za kuendesha Gari muda mrefu au sijui aliachika wakati ' Watoto ' wa mjini wa ' Watu wa mpira ' tuliyemjua Ndiku kitambo tu tulishatonywa kwamba siku nyingi Gari yake iligonga nguzo ya Umeme huku akiwa ameweka mziki mkubwa wa Kikongo ambao kwa mbali sana lilikuwa linasikika Gitaa la Dally Kimoko akilikung'uta vizuri upande wa Sebene. Na unaambiwa tokea siku hiyo wapate hiyo Ajali hapa katika Nguzo hiyo ya Umeme huku akiwa na Irene basi ilimlazimu tu Irene awe anapatia tu service ya Gari yake hapo hapo Mwananyamala Garage siku za Jumanne na Ijumaa.
Ndoa zina siri nyingi labda ndiyo sababu ya kuachana.
 
Ni kweli hata Kipingamizi cha kuanza kwenda Kituo cha afya kila Jumanne na Ijumaa sasa hatakuwa hana tena. Wewe unaona Gari kila siku inasumbua Injini na kuna Mtumiaji mwingine wa hiyo Gari ameikataa Kuinunua halafu Wewe na ushamba ushamba wako unakurupukua Kuinunua kwa Vijihela vyako vya ' ngama ' kwanini na Wewe isikumalize tu kwa Ajali? Uzuri wa Injini nyingi za siku hizi wala huhitaji hadi kumchukua Fundi ili akaangalie kama ni mbovu au nzima bali hata Wewe dereva tu mwenyewe unaweza ukagundua.

Naomba niishie hapa tafadhali na R.I.P sana Ndikumana.

Aisee kumbe mambo ndivyo yalivyo
 
Jamani tubet nani anafuata.
Zari -Diamond = Ivan
Uwoya -Janjaro =Ndikumana
solve Zamaradi vs Jamaa yake mpya=?
Soln
from eqn 1&2 use log X base 10 both sides
Also let Ruge to be an Element of X. Wadau wa Integration mtaendelea.
RIP NDIKUMANA
MKUU NANI ANATABIRI KIFO CHA MTU
 
Sawa ila siku zingine uwe unajitahidi sana kumuelewa haraka GENTAMYCINE Mkuu. Na ukiona naandika post halafu mwishoni nasema naomba niishie hapa tafadhali na nakiwekea alama nyekundu kabisa jua kuna kitu Nyeti na cha Hatari kabisa ila Kimaadili sikiweki wazi lakini nitakifumba fumba tu na mwenye akili za haraka atang'amua / ataelewa.
Hahaaaa asante sana kiongoz wangu balikiwa sana
 
Dah. haya mapenzi haya ni basi tu, madhara ya kupenda hadi mtu unaamua kudodosha kabisa rimoyo rako kwa mwanamke ndo hayo sasa.....!
Si mama yako yule na muda wowote anaweza kukugeuka!!
 
Kama Wewe ni mfuatiliaji sana wa miziki ya Kikongo kama PATO8221 Mkuu nitafutie Mtu aliyepiga Gitaa la Solo katika Wimbo wa Kanda Bongoman ule maarufu wa ' Inde Monie ' halafu huyo huyo tena akipiga Gitaa lake hilo hilo la Solo katika Wimbo maarufu wa ' Evelyne ' ulioimbwa na Aurlus Mabele halafu huyu huyo tena akalipiga Gitaa lake hilo zuri la Solo katika Wimbo mtamu wa ' Wapi Yo ' ulioimbwa na Mwanamama Yondo Sister na bahati nzuri katika hizo nyimbo zote huyo Guitarist hatari huko Kongo alitajwa wenyewe mnasema ' alifagiliwa / alipaishwa '. Ukishampata / Ukishamjua baki nalo moyoni mwako ila vuta tu picha yako wapiga Magitaa ya Solo wengi huwa wanafanyaje mikono yao kisha mwishoni utajiongeza mwenyewe.
[emoji443].....Dalikimoko....[emoji447]
Kweli shemeji nimekusoma, tena pasi na lepe la mashaka....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hii dunia watu wanapitia matatizo mengi sana ! Watu wana misongo ya mawazo mnooooooo. Lakini sisi wanadamu tunatumia muda mwingi sana kutake advantage ya matatizo Yao na kuyakuza mambo, sometimes tunaenda mbali na kufanya matatizo ya wengine habari za kucheka na kupiga soga za umbea ! Kumbe wengine wanaumia na mioyo Yao ni dhaifu! It's about time watu wajue mitandao kwa asilimia kubwa wakati inafurahisha wengine pia inachangia wengine kuumia zaidi na hata kupoteza maisha ! Mwenyezi Mungu asisahaulishe watu waliomake fun of situation ya Ndikumana! A lot of people made fun of him kumbe anaumia ndani ! Tunaendekeza binaadamu ubuyu bila kujua duvet bullying takes away lives kwa kiwango kikubwa
Kweli
 
Inahitaji IQ kubwa kama ya barafuyamoto kumuelewa haraka sana ' Purely Talented and Charismatic Fella ' GENTAMYCINE. Pole sana Mkuu.
IMG_20171115_112553.jpeg
 
Jamani tubet nani anafuata.
Zari -Diamond = Ivan
Uwoya -Janjaro =Ndikumana
solve Zamaradi vs Jamaa yake mpya=?
Soln
from eqn 1&2 use log X base 10 both sides
Also let Ruge to be an Element of X. Wadau wa Integration mtaendelea.
RIP NDIKUMANA
si kwa mahesabu haya duuh
wanaume hawawezi kuhimili mikikimiki sana tofauti na wanawake, na mbaya zaidi hawaongei vinavyowasibu, wako radhi wakae kimya huku wanaugulia ndani kwa ndani, ndio maana ni rahisi kupatwa na magonjwa ya moyo na vifo vya ghafla
 
Back
Top Bottom