mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Maisha mafupi Sanaa. [emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
andika unachokijua wewe basi.si kweli acha unafiki wewe
yani kwa maumivu wanayopewa wanawake wangekuwa wanapewa wanaume wangeshaisha duniani.si kwa mahesabu haya duuh
wanaume hawawezi kuhimili mikikimiki sana tofauti na wanawake, na mbaya zaidi hawaongei vinavyowasibu, wako radhi wakae kimya huku wanaugulia ndani kwa ndani, ndio maana ni rahisi kupatwa na magonjwa ya moyo na vifo vya ghafla
Ndivyo nilivyo mimisi kwa mahesabu haya duuh
wanaume hawawezi kuhimili mikikimiki sana tofauti na wanawake, na mbaya zaidi hawaongei vinavyowasibu, wako radhi wakae kimya huku wanaugulia ndani kwa ndani, ndio maana ni rahisi kupatwa na magonjwa ya moyo na vifo vya ghafla
Hata hivyo tumeendelea kupungua kwa kasi ya ajabu. Na siku sio nyingi tutatowekayani kwa maumivu wanayopewa wanawake wangekuwa wanapewa wanaume wangeshaisha duniani.
tehe tehe tehe tu wajasiri na wavumilivu sanayani kwa maumivu wanayopewa wanawake wangekuwa wanapewa wanaume wangeshaisha duniani.
utafute suluhisho mapemaNdivyo nilivyo mimi
msituletee mabwana zenu wa din nyingine kwenye makanisa yetu mkitaka muolewe na din hizo muamie huko kwenye din hizo sio ukristo pleaseandika unachokijua wewe basi.
Huyu mtoto lazima akikua atamchukia mama tu maana kwa sasa atadanganywa lakini akikua atapata habari yote na hivyo hatompenda mama kabisa pole Irene, akiweza amuweke mtoto karibu na familia ya Ndiku ili mtoto azoee haya maisha mapema likizo aende hukoTunawapitisha watoto katika mazingira magumu hii picha sijui mtoto ataielewaje na ataichukuliaje
namfikiria mtoto
utafute suluhisho mapema
Hii chain mbona itaunganisha wengiNashukuru kwa kunielewa mapema Mkuu na nawacheka tu hapa Watu wanaosema mara sijui ni Stress mara sijui Tatizo la Moyo na maneno / tuvituvitu kibao wakati hata Wachezaji wenzake wengi huku Bongo mmoja akiwa anafanya katika Kampuni ya Tajiri Kijana barani Afrika walishalijua tatizo lake zamani sana kama ambavyo walilijua tatizo la Wachezaji wawili ambao ni Wahenga kidogo ambao kwa sasa mmoja anacheza Klabu ya Maji Maji ya Ruvuma ( Songea ) huku mwingine akianza kula pensheni yake taratibu ndani ya Klabu inayo jinasibu / kujiita ya Kimataifa.
Nawaonea sana huruma Waandishi wa Habari za Michezo wa Kike nchini Tanzania. Naomba niishie hapa tafadhali na niseme tu tena R.I.P Ndikumana.
Jamani. Si juzi tu.alikuwa ok.
Kweli kifo tunatembea nacho...
Pumzika kwa amani. Shem
Ujumbe tosha huu, hapa dunian tunapita pita... ipo siku nitashangilia vifo vya watu flani si kwa mateso nayokumbana nayo...
Namba tatu naweka1.Diamond ____ Ivan
2. Dogo Janja_____ ndikumana
3.
4.
5.
Kweli we ni clueless[emoji38][emoji23]Weee!! Huyu mume wa irene uwoya????
tehe tehe tehe1. Ivan - Alijifanya hana habari kwa Zari, kumbe alikua akiumia kwa ndani na mwisho tukampoteza. R.I.P
2. Ndikumana - Akajifanya hajali kwa Irene, kumbe alikua anaumia kindani, na leo tumempoteza. R.I.P
Sasa nitatafutaje suluhisho wakati Zamaradi ndio kaisha olewa....[emoji19] [emoji19]
Minimemuachia tu Mungu.....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]