Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchanganyiko kwelikweli wa samaki na chai ya rangi bila kusahau chocolate na pilipili na juice ya papai ndani yake kwa kuwa ujenzi wa nyumba unataka asali ya kutosha na askari wa kulindaNdio nini!?
mambo.nashangaa niliweka thread imefutwa labda hajafa
Tako linaponza moyokumbe kule insta alikua anaenjoi machoni tu lakini moyoni alikua na maumivu makali mweee.....uwoya sijui alimpa tako huyu jamaa maana si kwa kuumia kule
Inategemea, anaweza kushukuru Mungu kuwa kifo kimehalalisha utengano waoNahisi Irene atajuta sana kwa hili!
Usiruhusu mkeo wa zamani aolewe na dogo, ni tiketi ya kwenda futi sita chini.1.Diamond ____ Ivan
2. Dogo Janja_____ ndikumana
3.
4.
5.
Endlea kutembelea na za Burundi mkuu usichokeMbona nimetembelea website nyingi za Rwanda hakuna kitu hicho
kwani alishampa talaka?habari ya kusikitisha, mume wa zamani za Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia. Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya soka ya Rayon Sports ambayo inaongoza kwa kuwa na mashabiki wengi nchini Rwanda. Uongozi wa timu hiyo umesema jana Katauti alifanya mazoezi na wachezaji wake akiwa buheri wa afya. Mwili wake umekutwa nyumbani kwake mjini Kigali akiwa amefariki dunia. Haijajulikana kifo chake kimesababishwa na nini kwani hakuwa mgonjwa na wala hajafanya ajali. Mwili wake umepelekwa monchwari ya kiislamu ya dispensari ya Rwampala kwa maombi ya familia yake kwani miili ya waislamu haihifadhiwi katika monchwari za kawaida kwa mujibu wa imani zao. Mungu ampe malazi mema peponi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Usiruhusu mkeo wa zamani aolewe ma dogo, ni tiketi ya kwenda futi sita chini.
dogo janja anajimwaya bila kipingamizi sasa, R.I.P,
Diamond-ZARI-SEMWANGA
JANJARO-uwoya-Ndiku